jamani matokeo yatakuwa hewani leo kuanzia saa moja ........ila saa kumi waandishi wa habali watakuwa pale kumsikliliza naibu wazili
ila kwa kifupi ni kwamba......nimesikia kiwango kimeongezeka asilimia tatu tofauti na mwaka na nimesikia watahininiwa 2345
wamefutiwa matokeo......shule tisa hazina matokeo..........source nimepewa na one of my friends wanaofanya kazi baraza......alinipigia simu
Naona dogo anaota tokea lini naibu waziri au waziri akatangaza matokeo?kila mwaka matokeo ya f4 na f6 yanatanganzwa na Ndalichako(Katibu Mkuu wa NECTA).
Huyo jamaa hajawai soma hebu angalia hata huyo waziri alivyoandika
Wazili badala ya waziri
Kingine waziri wa elimu hatangazi matokeo huwa na Ndaluchako