NakuliliaTanzania
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 555
- 7
Hivi Mitihani ya sekondari ni swala la Muungano? Nilidhani elimu ya Juu tu ndo swala la Muungano! Inakuwaje matokeo pia yana shule za Visiwani na Bara?
Naomba mwanga zaidi
Hivi Mitihani ya sekondari ni swala la Muungano? Nilidhani elimu ya Juu tu ndo swala la Muungano! Inakuwaje matokeo pia yana shule za Visiwani na Bara?
Naomba mwanga zaidi
kiukweli tumeungana kwenye elimu ya juu tu ila kwa hiari yetu tukaomba wenzetu tujiunge nao ktk mitihani tu ya O level na A level
ila tunauwezo kisheria kutunga mithani hio kwa ngazi hiyo.
na nntegemea hilo wizara ya wema inalizingatia hili.
lkn suala haya mambo ya ss kuwa kila uchao kuwa kimeo kuna mkono wa makusudi wazenji tuwabigije hawa wasiwe na sauti
Mimi nadhani hawa wakatoliki wana kasiri ka aina fulani maana shule zao siyo tu TZ hata US, Uingereza, India nk zinafanya vizuri sana. Wenyewe wanaita "Catholic education". Na nina uhakika hawasali rozali kutwa nzima. Ni nini ambacho tunaweza kujifunza?
Siku hizi mambo yameanza kubadilika na wengi wanaliona hili. Career na maisha ya ndoa ni mambo mawili ambayo yanahitaji careful balance. Ni vyema kila mtu akalijua jukumu lake katika ndoa na kuheshimiana. Tatizo especially hawa akina dada zetu wanaosoma equality kwenye human rights wanataka wailete hiyo theory nzima nzima ndani ya nyumba na hapo baba anakuwa mbogo. Its hardly possible to apply western theories in our African traditional setting bila kuzifanyia marekebisho kiasi... I guess kama mdada au mama una elimu yako you can careful craft what you want by negotiating with your partner than using threats of "usinibabaishe nazijua haki zangu"..Harafu naturally mwanamke akishamzidi kipato mume lazima mzee awe na inferiority complex. Its natural. So its for mama/dada kukaa na kumuonyesha kwa vitendo kwamba her kipato has nothing to do with their love and life. Lakini wengi wanashindwa. Na walioweza hata ukikutana nao utawajua tuu, they are so intelligent, wanajiamni na wana roho za kimama typical!
So my sisters as we move forward you should balance between the two because your career is very important so is your family life. Its all about genuine compromise.
Mimi nadhani hawa wakatoliki wana kasiri ka aina fulani maana shule zao siyo tu TZ hata US, Uingereza, India nk zinafanya vizuri sana. Wenyewe wanaita "Catholic education". Na nina uhakika hawasali rozali kutwa nzima. Ni nini ambacho tunaweza kujifunza?