Matokeo ya form two walomaliza mwaka jana mwezi December

Matokeo ya form two walomaliza mwaka jana mwezi December

loveleen

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
428
Reaction score
113
Habarini wapendwa mwenye ufahamu juu ya haya matokeo tafadhali anifahamishe ni lini yanatoka?

Matokeo ya form two walomaliza National mwaka jana December yanatoka lini? Tafadhali mwenye ufaham atujuze na je mtoto anaweza kwenda shule kuendelea form three?

Lini haya matokeo yatatoka tafadhali?
 
Ivi kumbe bado hayajatoka????????? ata me sifahamu
 
hii ndio elmu ya tizedi. mlioko wizarani mtujuze
 
hii ndio elmu ya tizedi. mlioko wizarani mtujuze

yaani ata sijui mitaala yetu imekaaje mtoto mpaka sasa haelewi kua aende form 3 au inakuaje na matokeo mpaka sasa bado
 
Mbona kimya wasomi wetu? tujuzeni tafadhali
 
ni udhaifu mkubwa sana wa waziri husika na wayendaji wake na mara nyingi matokeo ya form two huchelewa hadi sahzi wanafunzi hawajuwi hatima yao na shule zinafungua. tatizo tz dhana ya uwajibikaji ni zero.
 
kwani wao form two waliambiwa wanafungua lini shule?me nadhani waliambiwa tarehe kumi natisa ndo wanafungua shule...matokeo yao yatakuwa tayari
 
Kwa utaratibu ni hivi, mwanafunzi wa kidato cha pili anatakiwa kwenda shule mara tu inapofunguliwa bila ya kujali matokeo yametoka au bado kwasababu yeye akifaulu anaendelea na akifeli ni lazima (sio ombi) kurudia darasa, kama livyo elezwa na raisi mwezi wa 9/2014 kuwa yeyote alieacha shule mara baada ya kufeli kidato cha 2 sharti arudi shule kama sheria na taratibu zinavyoeleza, hivyo mdogo wako anapaswa kwenda shule bila kusubir matokeo( zoezi la kisubir matokeo linabak kwa kidto cha 4 na 6). Matokeo cjui yanatoka lini bro.
 
ni udhaifu mkubwa sana wa waziri husika na wayendaji wake na mara nyingi matokeo ya form two huchelewa hadi sahzi wanafunzi hawajuwi hatima yao na shule zinafungua. tatizo tz dhana ya uwajibikaji ni zero.

yaani ni zero kwakweli sijui lini tutabadilika
 
kwani wao form two waliambiwa wanafungua lini shule?me nadhani waliambiwa tarehe kumi natisa ndo wanafungua shule...matokeo yao yatakuwa tayari

washafungua muda sana kabla ya iyo tarehe uloitaja hapo na wako nyumban hawajielewi kua wamefauulu au la
 
Kwa utaratibu ni hivi, mwanafunzi wa kidato cha pili anatakiwa kwenda shule mara tu inapofunguliwa bila ya kujali matokeo yametoka au bado kwasababu yeye akifaulu anaendelea na akifeli ni lazima (sio ombi) kurudia darasa, kama livyo elezwa na raisi mwezi wa 9/2014 kuwa yeyote alieacha shule mara baada ya kufeli kidato cha 2 sharti arudi shule kama sheria na taratibu zinavyoeleza, hivyo mdogo wako anapaswa kwenda shule bila kusubir matokeo( zoezi la kisubir matokeo linabak kwa kidto cha 4 na 6). Matokeo cjui yanatoka lini bro.


Hatuishi kulalamika. Matokeo K.2 miaka yote hutoka Februari. Na matokeo haya hayazuii mwanafunzi kuendelea na K.3 kwa sasa. Wanafunzi wote waliofanya mitihani ya K.2 huendelea na masomo hadi matokeo yakitoka ambapo wanaotakiwa kurudia hubainishwa. Hivyo, subra yavuta heri, yatatoka tu.
 
Hatuishi kulalamika. Matokeo K.2 miaka yote hutoka Februari. Na matokeo haya hayazuii mwanafunzi kuendelea na K.3 kwa sasa. Wanafunzi wote waliofanya mitihani ya K.2 huendelea na masomo hadi matokeo yakitoka ambapo wanaotakiwa kurudia hubainishwa. Hivyo, subra yavuta heri, yatatoka tu.

Ndo KAWAIDA ya Wabongo kukurupuka siku zote matokeo Ni February Leo January Mtu anakuja kudai matokeo ka sio ujuha ni nini??
 
msitushke masikio nyie, mmesoma mwaka gani nyie mnaosema matokeo k.2 ni february, naomba muwaulize wadogo zenu coz mnaaibisha. Matokeo huwa yanatoka wk moja baada ya kufungua shule, mwambie aende shule then baada ya wk moja yatatoka.
 
Back
Top Bottom