kumbe walifanya mwezi wa tisa october!
[h=2]Biashara ya Uchawi Tanzania[/h]samahani wakuu mwenyekujua kinachoendelea anijuze au ndiyo Big result now ,shule ndiyo hizo zinfunguliwa matokeo ya kidato cha pili hayajatoka ,mtihani ulifanyika mwezi tisa mwaka jana ,hii ni aibu nyingine ya wizara husika ,au wanasubili baraza la mawaziri jipya