Matokeo ya form two

Matokeo ya form two

BiMkubwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2007
Posts
529
Reaction score
98
Habari zenu wanaJF. Ninahitaji msaada wa kupata matokeo ya Form 2 kupitia kwenye mtandao. je kuna yeyote anafahamu jinsi ya kuyapata? Naona NECTA wala Wizara hawajaweka mtandaoni.
 
Maranyingi yanayowekwa mtandaoni ni ya form 4 &6 ila form 2 na la 7 huwa hayawekwi njia pekee ni kwamba mpigie cm mkuu wa shule yako atakuwa tayar ameshayapata atakujulisha.
 
Habari zenu wanaJF. Ninahitaji msaada wa kupata matokeo ya Form 2 kupitia kwenye mtandao. je kuna yeyote anafahamu jinsi ya kuyapata? Naona NECTA wala Wizara hawajaweka mtandaoni.

yangekuwepo mtandaoni ungeshayaona humu. Maana hapa ndo kila kitu
 
Back
Top Bottom