Matokeo ya form two

BiMkubwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2007
Posts
529
Reaction score
98
Habari zenu wanaJF. Ninahitaji msaada wa kupata matokeo ya Form 2 kupitia kwenye mtandao. je kuna yeyote anafahamu jinsi ya kuyapata? Naona NECTA wala Wizara hawajaweka mtandaoni.
 
Maranyingi yanayowekwa mtandaoni ni ya form 4 &6 ila form 2 na la 7 huwa hayawekwi njia pekee ni kwamba mpigie cm mkuu wa shule yako atakuwa tayar ameshayapata atakujulisha.
 
Habari zenu wanaJF. Ninahitaji msaada wa kupata matokeo ya Form 2 kupitia kwenye mtandao. je kuna yeyote anafahamu jinsi ya kuyapata? Naona NECTA wala Wizara hawajaweka mtandaoni.

yangekuwepo mtandaoni ungeshayaona humu. Maana hapa ndo kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…