Na huyo aliyegawa cheo cha Mgeni rasmi amekimbia mafichoni 🏃♂️Mwanzoni ilikuwa dhahiri miongoni mwa mashabiki wa Simba kutomkubali kocha wao. Kufuatilia timu kutocheza vizuri na kuruhusu goals ktk mechi nyingi, wengi walipenda kocha atimuliwe. Ghafla siasa zikabadilika baada ya Yanga kupoteza kwa Ihefu. Kelele zote za 'Robertinho atimuliwe' zikaisha mtaani japo Simba iliendelea kutocheza vizuri na kuruhusu magori ktk mechi zake.
Pengine tutatejea kwenye kelele zetu sasa. Mgeni rasmi ni nani vile?
HahahahaaaNchi ya kucheza mpira mdomoni.
Yanga na simba zinadumaza mpira kwa kuwa na washabiki na viongozi maandazi
Mjinga sanaNa huyo aliyegawa cheo cha Mgeni rasmi amekimbia mafichoni [emoji2089]
Mmmmmmh hayaSimba imejaza wazee ,hakuna Wachez pale ,usimlaumu kocha,simba imechoka sana
Kwa kuwa umefungwa ndio unaihusisha Yanga na ujinga wenu?Nchi ya kucheza mpira mdomoni.
Yanga na simba zinadumaza mpira kwa kuwa na washabiki na viongozi maandazi
Mimi sijafungwa, nimemuweka mtu 5 lkn ukweli usemwe tuKwa kuwa umefungwa ndio unaihusisha Yanga na ujinga wenu?
EtiKwa kuwa umefungwa ndio unaihusisha Yanga na ujinga wenu?
HeeMimi sijafungwa, nimemuweka mtu 5 lkn ukweli usemwe tu
DaaaaahHamsa, [emoji113][emoji113]
Kocha hawezi kuepuka lawama, alipaswa kuushauri uongozi kuachana na hao unaoita wazee kabla msimu kuanza.Simba imejaza wazee ,hakuna Wachez pale ,usimlaumu kocha,simba imechoka sana
Hujielewi wewe Simba hatuna kocha, kila mara tunaongea ili suala,mpira ni mchezo wa wazi kocha wa Simba icho kibabu cha kibrazili ni kijinga tu hakina mbinu wala mipango yeyote.Simba imejaza wazee ,hakuna Wachez pale ,usimlaumu kocha,simba imechoka sana
AbsolutelyKocha hawezi kuepuka lawama, alipaswa kuushauri uongozi kuachana na hao unaoita wazee kabla msimu kuanza.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Eti kijingaHujielewi wewe Simba hatuna kocha, kila mara tunaongea ili suala,mpira ni mchezo wa wazi kocha wa Simba icho kibabu cha kibrazili ni kijinga tu hakina mbinu wala mipango yeyote.
HakikaKocha Alijificha Kwenye Kivuli Cha Ihefu[emoji23][emoji23]