na mimi nilijiuliza hilo swali na nikajiuliza waziri mutula anajivuni nini kutangaza matokeo kama haya?!! lakini nilipata jibu kutokana na a small research.
Ni kweli, 50% wamefeli lakini kwa standards zao! je kwa standards zetu, ni kweli 50% wamefeli?
kwanza tuelewe kwamba kwa kenya pass mark ni C-. chini ya hapo unahesabika kwamba umefeli.
GPA grading system kama wanayotumia kenya iko hivi,
Grade = points
A = 12
A- = 11
B+ = 10
B = 9
B- = 8
C+ = 7
C = 6
C- = 5
D+ = 4
D = 3
D- = 2
E = 1
kwenye equivalence na tunayotumia:
A , A- ni sawa na A
B+ , B , na B- ni sawa na B
C+ , C , C- na D+ ni sawa na C
D , na D- ni sawa na D
E ni sawa na F
kwa mfano
Div III ya 23 (CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-C), kwa system ya kenya assuming zote ni '+'
itakua ( CIV 7pts, HIST 4pts, GEO 4pts ,KISW 4pts, ENGL 4pts, PHY 7pts, CHEM 7pts, BIO 7pts B/MATH 7pts) jumla 51 pts avarage 5.6 ambayo ni C.
tukirudi kwenye pass mark ambayo ni
C- kwa hesabu ya haraka haraka ni
Div III ya 25!!
na hivi ndivyo wanafunzi walivyo fanya kwenye mtihani wa form 4 2012.[TABLE="class: grid, width: 800, align: center"]
[TR]
[TD]JINSIA
[/TD]
[TD]A
[/TD]
[TD]A-
[/TD]
[TD]B+
[/TD]
[TD]B
[/TD]
[TD]B-
[/TD]
[TD]C+
[/TD]
[TD]C
[/TD]
[TD]C-
[/TD]
[TD]D+
[/TD]
[TD]D
[/TD]
[TD]D-
[/TD]
[TD]E
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Wavulana
[/TD]
[TD]1277
[/TD]
[TD]5947
[/TD]
[TD]11753
[/TD]
[TD]15962
[/TD]
[TD]18936
[/TD]
[TD]22180
[/TD]
[TD]27134
[/TD]
[TD]31582
[/TD]
[TD]35655
[/TD]
[TD]37694
[/TD]
[TD]26436
[/TD]
[TD]4263
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]wasichana
[/TD]
[TD]698
[/TD]
[TD]3288
[/TD]
[TD]5977
[/TD]
[TD]9221
[/TD]
[TD]12174
[/TD]
[TD]16291
[/TD]
[TD]21771
[/TD]
[TD]27166
[/TD]
[TD]31548
[/TD]
[TD]35872
[/TD]
[TD]25997
[/TD]
[TD]3621
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]jumla
[/TD]
[TD]
1975
[/TD]
[TD]
9235
[/TD]
[TD]
17730
[/TD]
[TD]
25183
[/TD]
[TD]
31110
[/TD]
[TD]
38471
[/TD]
[TD]
48905
[/TD]
[TD]
58748
[/TD]
[TD]67203
[/TD]
[TD]73566
[/TD]
[TD]52433
[/TD]
[TD]7884
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
kutumia the same conversion,ni sahihi kusema kwamba, kati ya watahiniwa 437,365.
- wanafunzi 85,233 walipata Div I. (Div I ni hadi B-)
- wanafunzi 231,357 walipata Div III ya 25 au zaidi. (Div III ya 25 ndo pass mark yao)
- waliopata F ni wanafunzi 7,884 tu! ( feli kwa standards zetu).