magistergtz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 282
- 56
Ktk kipindi cha Jenerali ulimwengu cha channel ten cha leo tarehe 25 January, imebainishwa matokeo ya kidato cha 2 hayakuwa halisi. Takwimu zilipindishwa kuushawishi umma kuwa kiwango cha elimu ni kizuri. Takwimu hizi za ufaulu wa 65% ni uongo kwa vile hauendani na tafiti nyingine, mfano za Twaweza. Lkn pia watoto hawa tunao na tunaishi nao, hawajui hata kusoma wala kuandika wengine. Asilimia zaidi ya 90 ya watoto hawa hawawezi kusoma wala kuandika kiingereza. Wamefauluje mitihani ilofanyika kwa kiingereza?
Ushauri: Wizara ya elimu acheni siasa ktk takwimu za elimu. Tuache watanzania tujue ukweli wa uwezo wa watoto wetu
Ushauri: Wizara ya elimu acheni siasa ktk takwimu za elimu. Tuache watanzania tujue ukweli wa uwezo wa watoto wetu