Nasikia vijana wamekula mweleka kama nini mwaka huu!! Inabidi nifungue shamba kubwa niajiri Form 4 leavers!
jaman tushachoka kaa nyumbn
Who told you?mc2tishe matokeo bdo asaaaa!
kweli kabisa maana huku nyumbani mdogo wangu heshi kuzimia na kupanda presha.bora yatoke tu tupumzike kuuguza!