M Mento wa Magogoni Member Joined Nov 13, 2011 Posts 36 Reaction score 10 Feb 15, 2014 #1 Naomba kufahamishwa kama matokeo ya kidato cha nne mwaka 2013 yametoka?maana nilipiwa habari yangetoka tarehe 13 mwezi huu.
Naomba kufahamishwa kama matokeo ya kidato cha nne mwaka 2013 yametoka?maana nilipiwa habari yangetoka tarehe 13 mwezi huu.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Feb 15, 2014 #2 Kama 13/02 imepita na leo ni 15/02 endelea kusubiri
K Kalimbaga mussa Member Joined Jan 30, 2014 Posts 9 Reaction score 1 Feb 15, 2014 #3 subiri usiwe na haraka!
Mdeke_Pileme JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,596 Reaction score 2,226 Feb 15, 2014 #4 Utafurahi 2 ukiyaona!
K KIDUNDULIMA JF-Expert Member Joined Aug 18, 2010 Posts 966 Reaction score 540 Feb 15, 2014 #5 muulize aliyekupa hiyo habari
dume kubwaaaa JF-Expert Member Joined Jan 18, 2014 Posts 255 Reaction score 28 Feb 15, 2014 #6 Una haraka ya nini wakati hakuna kufeli? Subiri hiyo div 5 ya huyo ndugu yako akaendeshe bodaboda na kama ni binti akatwe housegirl!!!!Watanzania siasa zinatuua, KIDUMU CHASISIMAJANGIRI
Una haraka ya nini wakati hakuna kufeli? Subiri hiyo div 5 ya huyo ndugu yako akaendeshe bodaboda na kama ni binti akatwe housegirl!!!!Watanzania siasa zinatuua, KIDUMU CHASISIMAJANGIRI
M Maformular Member Joined Feb 14, 2014 Posts 12 Reaction score 0 Feb 15, 2014 #7 Fununu Hazifai Kuzifuata@ Kuwa Makini!
S Sadick Nkinda Member Joined Feb 15, 2014 Posts 77 Reaction score 9 Feb 15, 2014 #8 jamn mbona mimi sielewi
ethicx JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 311 Reaction score 126 Feb 16, 2014 #9 Mkuu vuta subra yatatoka ilikua haina haya ya kuleta uzi mpya kuhusu matokea ya kidato cha nne 2013
abdulahmed Member Joined Feb 6, 2014 Posts 19 Reaction score 0 Feb 17, 2014 #11 Utaelewa tuu kesho yanakuwa hewani mapeema
abdulahmed Member Joined Feb 6, 2014 Posts 19 Reaction score 0 Feb 17, 2014 #12 Robemongi leo yanatoka SAA 6 mchana ckiliza taarifa ya habari
B By sungura New Member Joined Feb 17, 2014 Posts 4 Reaction score 0 Feb 17, 2014 #13 hahahahaha wanajamii nouma
R RIZ1 New Member Joined Sep 5, 2013 Posts 1 Reaction score 0 Feb 17, 2014 #14 Hahahhahahhahahhahahaha
N ng'wandu JF-Expert Member Joined Apr 18, 2011 Posts 333 Reaction score 105 Feb 17, 2014 #15 Haya matokeo yanasubiriwa kwa hamu kubwa, watu wanataka kuona "Big Results Now" imezaa nini
A Aikasia Brown Member Joined Feb 17, 2014 Posts 18 Reaction score 5 Feb 17, 2014 #16 abdulahmed said: Robemongi leo yanatoka SAA 6 mchana ckiliza taarifa ya habari Click to expand... jaman hayo matokeo lini,tumechoka kusubiri
abdulahmed said: Robemongi leo yanatoka SAA 6 mchana ckiliza taarifa ya habari Click to expand... jaman hayo matokeo lini,tumechoka kusubiri
abdulahmed Member Joined Feb 6, 2014 Posts 19 Reaction score 0 Feb 17, 2014 #17 Subir km anavyosubiriwa yesu
abdulahmed Member Joined Feb 6, 2014 Posts 19 Reaction score 0 Feb 17, 2014 #18 Yameshatoka ingia website ya necta
A Aikasia Brown Member Joined Feb 17, 2014 Posts 18 Reaction score 5 Feb 17, 2014 #19 abdulahmed said: Subir km anavyosubiriwa yesu Click to expand... nimechoka
A Aikasia Brown Member Joined Feb 17, 2014 Posts 18 Reaction score 5 Feb 17, 2014 #20 abdulahmed said: Yameshatoka ingia website ya necta Click to expand... nisipoyaona nakung'ata.