understanding
Member
- Feb 17, 2013
- 75
- 34
Naombeni msikilize ujinga wa Clouds Fm, nime tune clouds Fm, nilitegemea kusikia leo watangazaji wangekuwa wakali sana kuhusu kufeli kwa watoto wa kidato cha nne kama walivyokuwa wakali wakishadadia kusitishwa kurushwa kwa bunge live na spika kuzima hoja ya Mbatia. hawa watu hawana aibu hata kidogo na wala hawajui nini kinaendelea.. nazidi kuuliza, how ethical these people are? yaani hapa namsikia Kibonde na wasiwasi wakitoa sababu za kufeli kwa wanafunzi, HAKUNA hata mmoja anayemponda au ku-comment negative kuhusu waziri au kuteteas point ya Mh Mbatia?
Narudia tena, ebu angalie ujinga wa PJ na Gerald Hando, walishadadia sana wiki iliyopita kuwa wabunge wanatoa hoja na wanakuwa wakali ili kujishaua, tena wakashadadia sana spika kuzima hoja ya Mh Mbatia, sasa aibu gani hii? hivi wanajisikiaje wajinga hawa kuona matokeo ya watoto yako yalivyo??
Narudia tena kuwaomba elimu zao na vipato vyao, kuna sababu kubwa wao kufanya hivi, ni njaa? ni ujinga? ni kujikomba komba? Ni kulogwa? ni nini haswa???... waandishi gani hawa?? penye kuhitaji kupiga kelele wanakuwa kimya, kwenye kuhitaji kimya na busara wanapiga kelele.. wapi na wapi?
Narudia tena, ebu angalie ujinga wa PJ na Gerald Hando, walishadadia sana wiki iliyopita kuwa wabunge wanatoa hoja na wanakuwa wakali ili kujishaua, tena wakashadadia sana spika kuzima hoja ya Mh Mbatia, sasa aibu gani hii? hivi wanajisikiaje wajinga hawa kuona matokeo ya watoto yako yalivyo??
Narudia tena kuwaomba elimu zao na vipato vyao, kuna sababu kubwa wao kufanya hivi, ni njaa? ni ujinga? ni kujikomba komba? Ni kulogwa? ni nini haswa???... waandishi gani hawa?? penye kuhitaji kupiga kelele wanakuwa kimya, kwenye kuhitaji kimya na busara wanapiga kelele.. wapi na wapi?