Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Ameona Demand Kubwa inayohitaji huduma yake ya kuwapa technique za kufaulu sio mbaya kipindi akisubiri kuingia chuo.
Kununua matokeo/mitihani hakujawahi kuziacha hizi Shule za Private salama.
Ni kweli mazingira mazuri yanawapa vijana kujifunza kwa usahihi.Hakuna cha kununua matokea. Mazingira mazuri waliyowekewa ndio yanasababisha ufaulu kupanda. And incase unashangaa.. wanachukua walimu wahapa hapa nchini.
Serikal ibadilishe mazingira tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya watoto wao itakua😀Hivi kumbe humu jf kuna machalii wanaosubiri matokeo ya kidato cha nne!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kututhibitishia kuwa wanafunzi wote waliokuwa wanasoma hizo shule zilizoongoza ni wakristo wakatoliki?....Shule zote waliongoza za wakristo tena wakatoliki?,wavulana waliongoza wakristo tena wakatoliki,wasichana waliongoza wote wakristo wakatoliki toka shule zote za wakatoliki.Huu ni mfumo kristo(in faiza n mohamed said)hahahahhaha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuuHizo shule ni competition based schools. Yaan ushindani ni wa juu kiasi kwamba kama mwanao ni kilaza. Bora usimpeleke kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo nimeshayaona and thank God mwanangu ana division 1 ya point 9, na tunamshukuru Mungu shule imefanya vizuri sana kwani ni ya 7 Kitaifa..........
Wengi hukimbilia kusema hivyoKununua matokeo/mitihani hakujawahi kuziacha hizi Shule za Private salama.
Na ukienda unamkuta headmaster anacheka cheka tu utazani mazuriJirani zangu wa zamani Masjid qubah naona wameshika mkia. Sasa kama ww mwalimu u afundisha shule hiyo si bora uache kazi tu
Kipindi cha nyuma kuna seminary nilisomaga pale mbeya ndiyo ilikua tunakimbiza nayo hiyo ST FRANCIS ikiwa ya kwanza kitaifa sisi wa pili, hiyo seminry hata mbunge silinde alisoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukienda unamkuta headmaster anacheka cheka tu utazani mazuri
Ha ha ha kalamba O nini mkuu
Umenikumbusha pia, mwaka mmoja jitegemee, somo la commerce tulilipasua kama lote mwalimu akamchukua aliyepata 95% ili arudie mtihani jamaa akapiga 98% hatari!Da nimekumbuka mbali kweli,Mwaka wetu mwenzetu mmoja alipata A masomo sita.Baraza wakamwita Dar wakamtungia paper lake mwenyewe na ulinzi juu,akapata A masomo saba...akaongeza A nyingine.
Ha ha ha kalamba O nini mkuu
ha ha ha ha ha mtafutie shule nzuri akaanze form one siku hizi wanamaliza wakiwa wadogo sanaEheh bwana, halafu anadai anataka kurudia shule miaka miwili, simuelewi ujue!
Sent using Jamii Forums mobile app