Matokeo ya Kidato cha Pili 2012, Shule zakosa wanafunzi wa kidato cha tatu 2013

Hahahahahahhahahahahaha! hii imeniacha hoi, Mkuu Ngaramtoni Standing allowance inakuwaje na hulipwa kwa kuangalia vigezo vipi, mwalimu afundishae akiwa amekaa anastahiki hii kitu?

Hii italipwa kwa staili ile ile ya sitting allowance ama sleeping allowance (ukiona huelewi muulize Tyson)
 
Hivi matokeo ya kidato cha pili hupatikana wapi? Shuleni ama nayo huwekwa mtandaoni? There is a member of my family dying to study science! The issue is shule anayosoama haina waalimu wazuri wa masomo ya science. Kwa muodoko huu mnaonambia kuwa wanafunzi wa kidato cha pili wame-fail naona jinsi ndoto yake inavyoyeyuka!
 
cyo walimu tu wafanyakazi wote hawafati maaadili ya kazi kwa sababu ya serikari kutowapa stahili zaondio maaana muda wote wanatumia kusaka hela
wacha wajikwamue kwa kufanya mambo yao binafsi
 

Hayawekwi mtandaoni, yanapatikana katika ofisi za ukaguzi Elimu Kanda, Baada ya kutoka yanakuwepo shuleni kwa Mkuu wa Shule au Ofisi ya Taaluma. Matokeo bado hayajatoka ila karibuni hapa yatakuwa tayari. Si wote waliofeli wapo walifanya vizuri, huenda huyo wa kwako amefanya vizuri.
 

Mkuu nakushukuru sana kwa hii taarifa. Naamini ww uko jikoni vikiiva tupakulie humu nasi tupate kushiba. Ubarikiwe sana.
 

By Shori MN

Usijali mkuu tutafanya standardization hakuna shule itakayopita kapa.
 
By Shori MN

Usijali mkuu tutafanya standardization hakuna shule itakayopita kapa.

Unafanyaje standadization kwa mwanafunzi mwenye wastani wa 10, 8, 6! Mie naona waacha tu! LIWALO NA LIWE!
 
Tatizo lipo kwa Sister Joyce!

Joyce ndiye anayefanya mitihani au ndiye anayewafundisha watoto? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Tuwe wakweli! au nawe uko kwenye ule msafara wa wale wanaodai misalaba ipunguzwe au iondolewe kabisa NECTA? :fencing:
 
Hao ndo tunategemea tupatemo wabunge, madiwani na watunga sera. Hii nchi kuna siku itadondoka na haitaamka tea
 

Tumegoma:ndio maana mimi nilichukia sana mukoba alipotangaza mgomo.yaani alikuwa ana haribu dili.
 
Mkuu Lukolo hapo bado sijaelewa, Mgomo huu ni wa kuigomea serikali au ni wa walimu kuwa bize na kazi Biashara zao, hata hivyo sio wote wenye Biashara!

Hata wasio na biashara hawafundishi.nibora akae nyumbani kutazama runinga.
 
Tumegoma:ndio maana mimi nilichukia sana mukoba alipotangaza mgomo.yaani alikuwa ana haribu dili.
Lakini si umeona waziri ametangaza matokeo ya kisiasa? Na yameonyesha ufauluu umepanda? Kazi ipo.
 
Nafikiri tatizo liko kwa waalimu,waalimu walio wengi hufundisha vizuri lakini wanasahau kuwafundisha wanafunzi namna ya kujibu mitihani kwani sio kila anayefeli hajui na hajaxoma tatizo ni namna ananyoelewa swali na anavyojibu mtihani ndio pia inachangia utokaji wa majibu baada ya usahihishwaji wa mitihani
 
Joyce ndiye anayefanya mitihani au ndiye anayewafundisha watoto? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Tuwe wakweli! au nawe uko kwenye ule msafara wa wale wanaodai misalaba ipunguzwe au iondolewe kabisa NECTA? :fencing:

Umenichekesha sana. Ni kweli Joyce kafanya kazi nzuri sana. Ila waabudu mwezi huwa hawaridhiki kwa lolote. Hupenda upendeleo tu.
 

umefafanua vizuri sana
 
Baba akikosa uadilifu uctegemee mtoto aupate. Hii serikali mnayolalamikia kila kukicho ndo hiyo inayoajiri hao walimu wa watoto wenu. Fikilini sana hapo
 
sasa kaka mambo ya siasa na elimu yanaingiliana vipi?....wanafunzi wa siku hizii wameendekeza mapenz,usharobaro na usister duu tuuu na ndo maana wanafeli sana mitihanai yao....so cccm haihusiki apo kabisa ktk kufeli kwao mitihan.....

Ndugu yangu siasa ndo kiongozi wa kila kitu kwenye nchi. Siasa ya mbaya kama hii yetu ndo maana kila kitu kinakwama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…