Matokeo ya Kidato cha Pili 2012, Shule zakosa wanafunzi wa kidato cha tatu 2013


Tulidai kuwa shule zitakosa wanafunzi sasa mbona ufaulu umeongezeka kwa asilimia 19 ikilinganishwa na mwaka jana. Kweli nimeamini Watu wa wizara ya elimu hawana haya, wakati wa usahihishaji yale masifuri baadhi ya vituo aliyekuwa na alma nyingi anapata chini ya 10 sasa kama wanatakiwa wewe na wastani wa 30 ulifikaje? Ama kweli hapa ni mserereko kila kitu
 
Utabiri umetimia, kama Kidato cha Pili wanapiga mweleka sana, cha ajabu hapa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…