texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 16, 2016 #1 Habari zenu, mimi ni mwanafunzi wa kidato cha pili niliemaliza mwaka jana. Matokeo yangu yamesema nimefaulu kwa wastani wa B (merit) huku nikipata B+ kwenye BIOLOGY, CHEMISTRY na ENGLISH. Je mnaonaje matokeo yangu Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2015 National form II Results 2009 aibu Attachments 1452929682466.jpg 32.2 KB · Views: 269
Habari zenu, mimi ni mwanafunzi wa kidato cha pili niliemaliza mwaka jana. Matokeo yangu yamesema nimefaulu kwa wastani wa B (merit) huku nikipata B+ kwenye BIOLOGY, CHEMISTRY na ENGLISH. Je mnaonaje matokeo yangu Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2015 National form II Results 2009 aibu
jd41 JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,756 Reaction score 4,847 Jan 16, 2016 #2 ..kwanza wewe unayaonaje?!
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,697 Reaction score 15,497 Jan 16, 2016 #3 Mabaya...unashindwa kupata A form two utaipatia wapi tena😎
Mwasita Moja JF-Expert Member Joined Dec 31, 2015 Posts 2,903 Reaction score 2,580 Jan 16, 2016 #4 Mwanza juuuuuu, wachaga mtanyooka tu
texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 16, 2016 Thread starter #5 Nayaona yakawaida tu.
texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 16, 2016 Thread starter #6 Nitaipata tu.
BILGERT JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 6,534 Reaction score 11,011 Jan 16, 2016 #7 ww dogo ww,
texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 16, 2016 Thread starter #8 Vp
texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 16, 2016 Thread starter #9 Vp
M Madam Mwajuma JF-Expert Member Joined Sep 13, 2014 Posts 7,071 Reaction score 6,753 Jan 16, 2016 #10 eti umemaliza mwaka jana?? form two hamna kumalizano cheti
janeth1 JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 2,151 Reaction score 768 Jan 16, 2016 #11 Mmh kweli humu tuna watoto hadi kidato cha pili? Matokeo yako ni ya kawaida ila ongeza juhudi ujipatie hata A.
Mmh kweli humu tuna watoto hadi kidato cha pili? Matokeo yako ni ya kawaida ila ongeza juhudi ujipatie hata A.
Elius Obadia JF-Expert Member Joined Dec 11, 2015 Posts 445 Reaction score 174 Jan 16, 2016 #12 Kaza buti well done
hassani athumani New Member Joined Dec 10, 2015 Posts 4 Reaction score 0 Jan 16, 2016 #13 yako poa dogo hongera sana
nalekazo sajaid Senior Member Joined Jun 28, 2014 Posts 117 Reaction score 13 Jan 17, 2016 #14 Kamaliza coz kafanya mtihan
A Alex Hamis Member Joined Jan 13, 2016 Posts 8 Reaction score 3 Jan 17, 2016 #15 Umefeli vibaya sana... Form Two umepata Merit,Form Four nadhani itakuwa Credit ukiendelea kutumia SmartPhone...
Umefeli vibaya sana... Form Two umepata Merit,Form Four nadhani itakuwa Credit ukiendelea kutumia SmartPhone...
texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 18, 2016 Thread starter #16 Hahaha, wacha wee, mi mbna smartphone nilianza kutumia toka class 7
A Alex Hamis Member Joined Jan 13, 2016 Posts 8 Reaction score 3 Jan 18, 2016 #17 texaz mc said: Hahaha, wacha wee, mi mbna smartphone nilianza kutumia toka class 7 Click to expand... Duuuh shikamoo texaz
texaz mc said: Hahaha, wacha wee, mi mbna smartphone nilianza kutumia toka class 7 Click to expand... Duuuh shikamoo texaz
texaz mc JF-Expert Member Joined Jan 15, 2016 Posts 371 Reaction score 205 Jan 18, 2016 Thread starter #18 Ivyo yani.
Chumchang Changchum JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 5,988 Reaction score 6,226 Jan 18, 2016 #19 Hongera Dogo lkn usibwete kwa hayo matokeo kaza buti una safari ndefu...
webondo JF-Expert Member Joined Apr 29, 2012 Posts 1,713 Reaction score 383 Jan 18, 2016 #20 Dogo komaa na shule zaidi, huku JF hakukufai. Angalao ukiwa FB si mbaya sana utaonana na vijana wenzio...
Dogo komaa na shule zaidi, huku JF hakukufai. Angalao ukiwa FB si mbaya sana utaonana na vijana wenzio...