Matokeo ya kidato cha pili mtihani wa taifa utata

sasa mkuu mbona unatuharibia topic? uchawi wako huu unahusianaje na kuchelewa kutoka kwa matokeo ya form ii?
unajua vijana hawa wakiona matokeo yanachelewa wanaweza kwenda kwa waganga. Nani ajuaye labda wengi wapo kwa waganga wanatambika.
 
wewe ulitaka matokeo yakiwa mabaya wananchi tusherekee? wewe sio mzima! wapuuzi wote mmetoka kule facebook mmehamia huku.

mods watu kama hawa ingefaa wafungiwe hawana faida yeyote kwenye jukwaa hili--wanatuongezea idadi tu!

Sasa kama wanaamini walichokifanya kwenye usahishaji na upangaji wa matokeo wayatoe basi tuone!!!!
 
kwani mtu mzima hawezi kuwasemea watoto wa form ii? ina mtu yeyote atakayehoji matokeo ya form ii, naye ni mtoto wa form ii? think BIG dude!

Saaafi kaka nafikiri wanadhani kila anaye hoji matokeo ya 4m 2 ni 4m 2 haiingii akilini mtu mzma kushindwa kufikiria >>>>>>mawazo mafupi kama umeme wa luku>>>>!!!
 
mpaka sasa matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha 2 mpaka leo hayatoka huku shule zikiwa zimefunguliwa,nini tatizo makamanda?BRN vipi imekula kwao sana?

Tutayatoa hivi karibuni
 
mbona kelele kama unaamini umefanya vizuri siusubiri yatoke kuliko kuchafua kwa kutoa maneno ya kipumbavu.wahenga walisema subira ya vuta heri .kamanda vuta subira
 
Nimesikia anaye feli kwa mara ya pili, bado ataendelea na elimu ya sec katika mfumo usio rasmi, inakuaje hapa mbona sielewi elewi vizuri? ninyi mnao husika na mitihani nielezeni bac nijue, mi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea.
 
jamani nitayapataje hayo matokeo ya form 2. nasikia tu yametoka ila nahitaji msaada zaidi jinzi ya kuyapata:laugh:
 
Nataka kuona majina ya waliofaulu kidato cha pili 2014
 
hii orodha ya wachawi ndo matokeo ya kidato cha pili mbona umechanganya mada na wewe upo mkoa gani kati ya hiyo?
 
hata baraza halijatoa sijui waziri aliyekuwa anahusika kapigwa chini yani Naibu. na waziri kamili ni mzigo. mwambie mwanao atayakutia shuleni kwake
 
Msnishangae ndo naingia jamii sas cjui wap ntapat machapsho ya matokeo ya kidato cha pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…