Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo



Ukizitenganisha unaongeza ufaulu wa hiyo shule yenye watoto wengi?.
 
Fuatilia ma T.O wa miaka 5 nyuma alafu uniletee summary hapa
All in all Kilimanjaro Ni ngome ya elimu tangu Uhuru
Tukianza na mwaka Jana Tu.

Anthony mulokozi.



Mwaka huu waliofaulu arts wavulana na wasichana wanne wametoka kagera


Bado science kuna wawili
 
Tukianza na mwaka Jana Tu.

Anthony mulokozi.



Mwaka huu waliofaulu arts wavulana na wasichana wanne wametoka kagera


Bado science kuna wawili
Ripoti ya mwaka huu matokeo ya kidato Cha 6 kilimanjaro tumeendelea kuwaburuza kagera Kama ilivyo Ada
Hakuna mwaka ambao kagera inaipita kilimanjaro kwenye form four au six pamoja na kwamba kilimanjaro tunaongoza kuwa na shule nyingi kuzidi mkoa wowote ule
Cc
kunde ekaka
 

Attachments

  • Screenshot_20190712-125005.jpeg
    63.7 KB · Views: 24
Unaongelea form six?
Zaidi ya wanafunzi waliomaliza form six huwa sio wa mkoa husika!!

Au unajifanya hujui?

Mfano kamugisha wa pili kitaifa amesomea kisimiri Arusha lakini ni mwenyeji wa kagera.


Toa ushamba wako hapa
 
Hongereni wadogo zetu mliofanya vizuri katika mtihani wenu wa kidato cha sita.
 
Unaongelea form six?
Zaidi ya wanafunzi waliomaliza form six huwa sio wa mkoa husika!!

Au unajifanya hujui?

Mfano kamugisha wa pili kitaifa amesomea kisimiri Arusha lakini ni mwenyeji wa kagera.


Toa ushamba wako hapa
Baada ya kuburuzwa unatoa sababu mfu Nan kakwambia wanaosoma advance wote Ni wagen wa mkoa husika? Wewe kubali kushindwa tu kagera haijawahi ipita kilimanjaro kielimu tangu Uhuru Jana si mlikuwa mkitaka hii ripoti? Sasa nawawekea mnaleta longo longo hahaha
 
Minimum qualifications ni 4 points ambazo ni DD, huyo ana CE ambazo ni C= 3, E= 1,jumla 4 points. Chuo naamini atapata.
Sifa siyo kuwa na pointi nne tu, bali unakuta wameainisha kabisa kuwa kila somo una at least D. kwa hiyo japo CE inakupa hizo pointi 4, lakini kwa kigezo cha pili cha kuwa na at least B mbili kinakuangusha. Kwa mfano ukiwa na A & S , japo una zaidi ya pointi 4, lakini kigezo cha kuwa na angalau principle mbili kinakuangusha.
 
Hawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.

Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.

General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D

Ni dvsn 3 ya 14.
Andaa pesa ya chuo, halafu akimaliza chuo ndo umpe mtaji wakati akiwa amepevuka zaidi na ana upeo mkubwa zaidi.
 
Hivi mnajua Kisimiri - Arusha ni shule ya Kata!! Nafikiri inafaa kutumika kama case study kwa shule nyingine za kata nchini walimu wakajifunze mbinu pale Kisimiri.
Haiwezi kutumika kama case study maana intake yake haina tofauti na special school zingine. Waingie hata top 200 za form 4 ambako ni shule ya kata tu ndio tuwasifie
 
Endelea kujifariji wakati kila mtu anajua kagera ndo chimbuko la wasomi wengi Africa mashariki na kati
 
Dah kasema ataomba udaktari tu et anataka afuate nyayo zangu !

Private lakini si uhakika ?
Private ni uhakika ili mradi pochi yako ni ya uhakika pia!!!! Aombe Kariuki, ni chuo kizuri mno ila ada yake ni zaidi ya 5M, kabla ya mahitaji mengine kama chakula, malazi, stationary na pocket money.
 
Kwangu Mimi shule iliyotisha ni St Mary's mazinde! Wanafunzi zaidi ya 200 alafu wanaingia top 10???? Mkuu wa shule nampa Big up!
Wewe una akili sana!!! Hiyo kwa kigezo cha ukweli ndiyo iliyopaswa kuwa ya kwanza halafu kibaha ilipaswa kuwa ya pili.
Inashangaza shule yenye DIVISION ONE 58 na wanafunzi 60 kuwa ya kwanza na yenye DIVISION ONE 143 na wanafunzi zaidi ya 170 kuwa ya pili. Zote hazina 0, IV japo kibaha ina III tatu.
Unategemeaje mtu aliyebeba mzigo wa kilo zaidi ya kilo170 ashindane kwenye mbio na mtu aliyebeba mzigo wa kili 60!!! Halafu mwenye kilo kidogo akatangulia kwa sekunde 2 zaidi ya mwenye kilo nyingi, halafu ukaamini ushindi wake ni halali!!!
 
U
 
Hebu nielewesheni Maana hapa katikati Kuna mabadiliko mengi Sana katika selection, mtu mwenye EED point 14 ya PGM anaweza kuchaguliwa kusoma chuo kweli
Mwisho ni DDE kusoma Degree, vingimnevyo aombe Diploma.
 
Endelea kujifariji wakati kila mtu anajua kagera ndo chimbuko la wasomi wengi Africa mashariki na kati
Hahaha ripoti Jana uliitaka naiweka Leo unaruka ruka hahaha Kilimanjaro ndio nyumban kwa elimu,nyie kagera na ukubwa woote mnazidiwa idadi ya shule na ka mkoa kadogo kieneo kama kilimanjaro tena kwa mbali,haihitaji PhD kuelewa nan ni chimbuko la elimu hapo
 
Ni aibu Kwa mkoa wenye shule zote hizo lakini hakuna hata moja top ten.




Huyu mtu chini unamuona?ni mwenyeji wa Bukoba.

Juzi Kati amewaburuza wanachuo wote wa Frederick university huko ulaya.

Ni best student .


Mkuu kubali Tu nitakuletea kibao maana mabest students nitakuporomoshea wote hapa.

 
Minimum qualifications ni 4 points ambazo ni DD, huyo ana CE ambazo ni C= 3, E= 1,jumla 4 points. Chuo naamini atapata.
Mkuu so na wa HGE , kwa alama za EDE hana chake huyu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…