shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Habari za mida hii wadau
Nimekuja na hoja yangu tuijadili.Leo matokeo ya kidato xha sita yametoka ila watoto nimeona wamefaulu sana
Unakuta shule ina division one na two.sasa jamani mimi swali langu ni hili hivi tuseme watoto wasasahivi wanaakili sana kuliko wazazi wao .maana kipindi chetu kupiga one da ujikunje hasa.
Wasiwasi wangu ni kwamba tunapoendea hata wenye division two watakuja kukosa vyuo maana vijana wanavunja sio utani.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
Nimekuja na hoja yangu tuijadili.Leo matokeo ya kidato xha sita yametoka ila watoto nimeona wamefaulu sana
Unakuta shule ina division one na two.sasa jamani mimi swali langu ni hili hivi tuseme watoto wasasahivi wanaakili sana kuliko wazazi wao .maana kipindi chetu kupiga one da ujikunje hasa.
Wasiwasi wangu ni kwamba tunapoendea hata wenye division two watakuja kukosa vyuo maana vijana wanavunja sio utani.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26