Wakuu naomba mnijuze matokeo ya kuappel huwa yanachukua muda gani kutoka maana nishajaza barua bado kurudisha tu.
Alafu huwa yanabadilikaga kwa kiasi gani.nataka kuappeal mtihani wa kidato cha nne 2012 kama mitihani miwili hivi
NAOMBA MSAADA WENU WAKUU