mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Katiba mpya lilikuwa ni wazo jema la kuirekebisha katiba lili iendane na wakati lkn pamoja na kuchukua muda mrefu na hatua nyingi hatimae iliishia kwenye bunge la katiba.
Nakumbuka tume ya katiba mpya iliyoongozwa na mzee Warioba ilivyozunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wanachi juu ya katiba yao, mwisho wa siku ikaishia mikononi mwa mwa bunge maalum la katiba.
Nakumbuka mbuge lilikuwa chini ya mwenyekiti Marehemu Samwel Sita, na makamo wake akiwa Mama Samlia Suluhu Hasani ambaye kwa sasa ni makamo wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Viongozi hawa kwa dhati kabsa na maelekezo toka kwa Mh. Kikwete walibadirisha rasimu ya katiba na kupitisha ile ilyotakiwa na chama chao.
Madhara yake sasa yanaonekana yameanza kuwaathili hata wao, najua alipo JK anajilaum, mama Samia pia maana hakuna atakaye salimika kwa uongozi huu.
Mlitaka kujifurahisha kwa kuharibu mchakato wa katiba ya wanachi sasa cha moto tunakipata wote.
Nakumbuka tume ya katiba mpya iliyoongozwa na mzee Warioba ilivyozunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wanachi juu ya katiba yao, mwisho wa siku ikaishia mikononi mwa mwa bunge maalum la katiba.
Nakumbuka mbuge lilikuwa chini ya mwenyekiti Marehemu Samwel Sita, na makamo wake akiwa Mama Samlia Suluhu Hasani ambaye kwa sasa ni makamo wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Viongozi hawa kwa dhati kabsa na maelekezo toka kwa Mh. Kikwete walibadirisha rasimu ya katiba na kupitisha ile ilyotakiwa na chama chao.
Madhara yake sasa yanaonekana yameanza kuwaathili hata wao, najua alipo JK anajilaum, mama Samia pia maana hakuna atakaye salimika kwa uongozi huu.
Mlitaka kujifurahisha kwa kuharibu mchakato wa katiba ya wanachi sasa cha moto tunakipata wote.