ubashiri mwachieni sheikh jamani ndio fani yake
Yaani pamoja na kuchakachua bado wameishia 61 %??? Kweli ngoma ilikuwa nzito!!!!
Hiv unamchezea mkwere! Anajua hilo ni swali atakalo ulizwa na jamii nyingi za kimataifa hivyo tayari kinana jinias wake atakuwa amemwandikia kahotuba kakujidifend huyu ndo mkwere halisi...kweli kuna watu kama jk mishipa yao ya aibu ilishakatika kitambooo,,,,ss simpatii picha safari zake za njeya nchi akienda uko for e.g kwa presedaa aliyepewa uraisi kihalali kama obama then anaulizwa enhe vipi za uchaguzi...mbona nasikia kulikua namalalamiko..ivi anajibu niniii jamani?na kile kigugumiza chake sijui atajib pumba gani