matokeo ya mzumbe university kwangu yamezuwa baa!

Thuwaein Yuzarseif

New Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2
Reaction score
0
habari! nawaombeni msaada jamani nimechaguliwa katika chuo kikuu cha Mzumbe, lakini nahitaji nijione kwenye matokeo ya Mzumbe ili nihakikishe. Hivyo wapi ninaweza kuyapata matokeo ya Mzumbe? Mana nimeshafunguwa website yao lakini sijayaona bado.
 
habari! nawaombeni msaada jamani nimechaguliwa katika chuo kikuu cha Mzumbe, lakini nahitaji nijione kwenye matokeo ya Mzumbe ili nihakikishe. Hivyo wapi ninaweza kuyapata matokeo ya Mzumbe? Mana nimeshafunguwa website yao lakini sijayaona bado.
tuko pamoja,tusubiri tu watatoa.Maana si mzumbe tu kuna vyuo vingi bado hawajatoa kwenye website zao.
 
Kwani nani kakwambia umefuzu?
 
Je umejuaje kama umechaguliwa mzumbe?
 
dah! mzumbe wanazingua nimeona semester itaanza 22 october hivi ndicho chuo kinachochelewa kuanza semester TZ Nzima
 
Basi subiri nchecheto ya nini? Umeazima vyeti nn?
 
habari! nawaombeni msaada jamani nimechaguliwa katika chuo kikuu cha Mzumbe, lakini nahitaji nijione kwenye matokeo ya Mzumbe ili nihakikishe. Hivyo wapi ninaweza kuyapata matokeo ya Mzumbe? Mana nimeshafunguwa website yao lakini sijayaona bado.

sasa wewe kwani uliapply kupitia TCU au Mzumbe Univ??? kama tcu washakujibu basi contract imeshakua fulfilled! kwanini unakua mgumu kuamini? au ulipitia mlango wa nyuma??
 
sasa wewe kwani uliapply kupitia TCU au Mzumbe Univ??? kama tcu washakujibu basi contract imeshakua fulfilled! kwanini unakua mgumu kuamini? au ulipitia mlango wa nyuma??
#

Hapo nahisi kama kuna tatizo.
 
una uhakika na unachokisema!!!? waulize watu wanaosoma mzumbe wakwambie semester kwa mwaka wa 1 inaanza lini!! ongea na data ndugu...
 
sasa wewe kwani uliapply kupitia TCU au Mzumbe Univ??? kama tcu washakujibu basi contract imeshakua fulfilled! kwanini unakua mgumu kuamini? au ulipitia mlango wa nyuma??

hata mi nshamshtukia huyu jamaa maana huwez toa 30000 afu usiwe na iman na sehem uliotuma maombi,au ni direct entry ata kama majibu tcu yamefata nin nawasilisha mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…