J JOSEPH M. CHACHA Member Joined Aug 30, 2013 Posts 6 Reaction score 1 Sep 14, 2013 #1 Wenye taarifa nayo watujuze jamani 2lisha pigika xana
Eugo Member Joined Sep 23, 2012 Posts 39 Reaction score 1 Sep 14, 2013 #2 Kwa kawaida wizara ya afya huwa wanatoa majibu mwez wa kumi au wa tisa mwishoni, kwa hiyo bado ka wk mbili hivi yatoke.
Kwa kawaida wizara ya afya huwa wanatoa majibu mwez wa kumi au wa tisa mwishoni, kwa hiyo bado ka wk mbili hivi yatoke.
Kassimhamza Member Joined Sep 1, 2013 Posts 25 Reaction score 1 Sep 14, 2013 #3 JOSEPH M. CHACHA said: Wenye taarifa nayo watujuze jamani 2lisha pigika xana Click to expand... samahan bxt .ukiyasikia nijuze kwan hata mim nimeaply.nijuze kwa 0714419691 wew je mm nikiyaskia?
JOSEPH M. CHACHA said: Wenye taarifa nayo watujuze jamani 2lisha pigika xana Click to expand... samahan bxt .ukiyasikia nijuze kwan hata mim nimeaply.nijuze kwa 0714419691 wew je mm nikiyaskia?
Kassimhamza Member Joined Sep 1, 2013 Posts 25 Reaction score 1 Sep 14, 2013 #4 2saidiane jaman kujulisha. Namba yangu ni 0714419691
nguzo87 Member Joined Sep 12, 2013 Posts 29 Reaction score 0 Sep 14, 2013 #5 Wanayachelewesha ya nn cz mtu umekaa mpaka unajikinai ivi kwel wanania nzuri na cc isitoshe kunaushindan sana
Wanayachelewesha ya nn cz mtu umekaa mpaka unajikinai ivi kwel wanania nzuri na cc isitoshe kunaushindan sana
S Sospetergideon JF-Expert Member Joined Aug 9, 2013 Posts 300 Reaction score 16 Sep 14, 2013 #6 Kuvuta subira ili ipatikane heri lakini daaah!