Ndg wana JF.
katika pitapita yangu nimekutana na opinion poll inayoendelea kupitia link hii Tanzania General Election 2010
Poll zote zinazoendeshwa kwenye net Dr. Slaa ni zaidi hawa REDET, Synovate ni mawakala wa chama fulani??
Ndg wana JF.
katika pitapita yangu nimekutana na opinion poll inayoendelea kupitia link hii Tanzania General Election 2010
Poll zote zinazoendeshwa kwenye net Dr. Slaa ni zaidi hawa REDET, Synovate ni mawakala wa chama fulani??
Iku juu ila mtu anweza kuvote mara nyingi.
Iku juu ila mtu anweza kuvote mara nyingi.
iNABIDI CCM WAZUIE MITANDAO ISIENEEE NCHI NZIMA ILI WAENDELEE KUWAONGOZA WASIOJUA HABARI ZAO MITANDAO IWE YA BEI YA JUU TUU!Kwa kweli kama october 31st kura pia zitakuwa zinapigwa kwenye mitandao... Dr. Slaa is already a president... ama kama zinapigwa kwenye polling station!!! mhhhhh
Si unakumbuka Makamba liwaambia waandishi wa habari waandike tuu lakini magazeti yao hayafiki Busanda, wala busanda hawana umeme wa kuangalia TV!!iNABIDI CCM WAZUIE MITANDAO ISIENEEE NCHI NZIMA ILI WAENDELEE KUWAONGOZA WASIOJUA HABARI ZAO MITANDAO IWE YA BEI YA JUU TUU!
Kwa kweli kama october 31st kura pia zitakuwa zinapigwa kwenye mitandao... Dr. Slaa is already a president... ama kama zinapigwa kwenye polling station!!! mhhhhh
Hawa hawa sisi ndio wapiga kura. Hivyo usikonde. Kura yangu na familia yangu (mke na watoto watano) na rafiki zangu kibao zaenda kwa DR Slaa.Kwa kweli kama october 31st kura pia zitakuwa zinapigwa kwenye mitandao... Dr. Slaa is already a president... ama kama zinapigwa kwenye polling station!!! mhhhhh