Matokeo ya 'supplementary' DIT, wengi wamefeli

kwahiyo unanaona kuwa matokeo yamekuwa ya hovyo kwa kuwa mlikuwa mkidai haki?
 

Madogo zangu vp, kwanini hamsomi? au mnashinda jorry club? au mr Kondolo kabana sana mambo ya menu dinning? someni vijana, DIT ni chuo kizuri sana nimetoka hapo 2007, BENG ya umeme, huku mtaani product ya DIT, ni lulu, makampuni mengi ya simu niliyopita, vijana wa DIT, ni kibao.
 

Niliingia D.I.T. moja kwa moja kutoka O-Level miaka hiyo. Na kwa taarifa yako, wengi wa wanaosoma D.I.T. ni wale waliosoma FTC/Diploma pale D.I.T. Hao wanao Retake/Disco wengi wao ni watoto wa Form Six na ndiyo huwa wanalalamika chuo kigumu.

Kama hujui kitu uliza mkund.u wewe.

:typing: :coffee:.
 

watu ambao hawaelewi dawa yao ni kuwapuuza tuu, wanadhani mtu anayesomea hivi vyuo (DIT, ARUSHA TECH &MUST) alifeli form four! ukweli watu ambao wanaongoza kwa kudisco kwenye hivyo vyuo ni wale waliotoka form six.

Kwa ku declare interest tu mimi mwenyewe nilienda Arusha Tech direct from form four nikiwa na division TWO 2010.
 

Sawa mkuu Planett.

Pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hao si ndio wale waliondamana juzi kwenye TV wakijiita vijana wazalendo?wenye akili zao wako likizo hao vijana wazalendo si ndio walikuwa supplimentary? kama ndio waliotoa tamko sishangai wamepata discontinuation kibao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…