Matokeo ya tarehe 8 ni YAS (Uhakika kabisa) ndiyo ni YAS

Matokeo ya tarehe 8 ni YAS (Uhakika kabisa) ndiyo ni YAS

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Kutoka Uvinza Kigoma, babu radi ameangalia dakika 90 za mchezo na mambo yakawa hivi.

Y= Yanga
A= Ameiua
S= Simba

Matokeo kamili ni
6-0
Prince Dube - 3
Aziz Ki - 1
Max Nzingeli 1
Baka - 1 (goli la kichwa)

Goli moja la Dube litaleta malalamiko.

Ushauri:

Magoli yanaweza kupunguzwa endapo kocha hatawaanzisha Mukwala na Ateba maana timu itacheza kwa kujilinda wakijua hawana ma forward wa maana. Ikitokea mmoja kati yao ameanza basi 6 ni uhakika.
 
Mechi ya 5-1 nilileta kama yalivyo mpaka tukio la Kibu kuumia, mechi yamwisho nilileta matokeo na kusema Simba watajifunga. Baada ya mechi hii njoo hapa.
Leta ushahidi, weka link za thread zako
 
Kutoka Uvinza Kigoma, babu radi ameangalia dakika 90 za mchezo na mambo yakawa hivi.

Y= Yanga
A= Ameiua
S= Simba

Matokeo kamili ni
6-0
Prince Dube - 3
Aziz Ki - 1
Max Nzingeli 1
Baka - 1 (goli la kichwa)

Goli moja la Dube litaleta malalamiko.

Ushauri:

Magoli yanaweza kupunguzwa endapo kocha hatawaanzisha Mukwala na Ateba maana timu itacheza kwa kujilinda wakijua hawana ma forward wa maana. Ikitokea mmoja kati yao ameanza basi 6 ni uhakika.
Mzinze 3
Azizi 3
Hii itawezekana ikiwa hadi HT Uto anaongoza kwa clean sheet ya at least 2.
 
Weka link ya hizo thread ulizotabiri na yakatokea mkubwaa wa kambi..
 
Ingawa mchezo wa Derby huwa hautabiliki! Ila Simba wakubali tu wana wakati mgumu sana kucheza na timu yenye wachezaji aina ya Aziz Kii, Prince Dube, Clement Mzize, Max Nzengeli, Pacome Zouazoua, na wengineo wengi!

Ni hatari aisee!! Anything can happen.
 
Ingawa mchezo wa Derby huwa hautabiliki! Ila Simba wakubali tu wana wakati mgumu sana kucheza na timu yenye wachezaji aina ya Aziz Kii, Prince Dube, Clement Mzize, Max Nzengeli, Pacome Zouazoua, na wengineo wwngi!

Ni hatari aisee!! Anything can happen.
Hao wazee?
 
Kutoka Uvinza Kigoma, babu radi ameangalia dakika 90 za mchezo na mambo yakawa hivi.

Y= Yanga
A= Ameiua
S= Simba

Matokeo kamili ni
6-0
Prince Dube - 3
Aziz Ki - 1
Max Nzingeli 1
Baka - 1 (goli la kichwa)

Goli moja la Dube litaleta malalamiko.

Ushauri:

Magoli yanaweza kupunguzwa endapo kocha hatawaanzisha Mukwala na Ateba maana timu itacheza kwa kujilinda wakijua hawana ma forward wa maana. Ikitokea mmoja kati yao ameanza basi 6 ni uhakika.
Kuifng atutaifunga simba ila sidhani kama tutaifunga magoli haya yote.
If wishes were horses even beggars would ride.
Ila Watanzanai tutaamini sana uchawi ndiyo maana tuko top 5 ya nchi zinazoamini uchawi afrika.
 
GOLI zitakuwa 4. JUMLA pande ZOTE

YANGA atashinda
4-0/3-1

Kamaria wahi ov 3 .5 mapema awajarekebisha ....

Fungaji

Aziz
Mzize
Duke
Jonathan
Max & pacome
Hawa ndio watahitimisha vilio vya Simba

Azam atapigwa ft JUMLA GOLI 1-5
3-1/4-1/3-2

All dbest

Tabora ANAKULA 1-5
4-0/3-0/4-1. (Mzize ana mawili-3)

All d best
 
Ingawa mchezo wa Derby huwa hautabiliki! Ila Simba wakubali tu wana wakati mgumu sana kucheza na timu yenye wachezaji aina ya Aziz Kii, Prince Dube, Clement Mzize, Max Nzengeli, Pacome Zouazoua, na wengineo wwngi!

Ni hatari aisee!! Anything can happen.
Kwa Azam na Tabora huo ugumu ulienda wapi?
 
Back
Top Bottom