Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Mkoa wa Dar-es-Salaam

TGS D

Senior Member
Joined
Aug 3, 2010
Posts
114
Reaction score
13
Wapiga kura 147

Urais

CCM -72,
CHADEMA - 71,
CUF - 3,
NRA, TLP & APPT - 0.

Uubunge

CCM - 60,
CHADEMA - 72,
CUF - 8,
NCCR - 0,
TLP - 1.

Diwani

CCM - 64,
CHADEM - 64,
CUF - 19
 
Mimi nilipofika tu kituoni kwangu kuna jamaa akajitokeza kunisaidia kutafuta pahala palipokuwa na jina langu.

Akanitonya: "Leo tunampiga chini Makongoro. Katutukana jana".

Nikacheka kwa ishara ya kukubaliana na alichokuwa anakisema.
 
Safari hii yawezekana Uraisi ukaamuliwa na kura chache sana.......................Inanikumbusha Marekani Gore vesus Bush (2000)..................
 
Safari hii yawezekana Uraisi ukaamuliwa na kura chache sana.......................Inanikumbusha Marekani Gore vesus Bush (2000)..................

Mkuu usijidanganye, we subiri matokeo ya vijijini yaanze kumiminika, maana huko ndiko kuna opportunity pekee ya kuchakachua. Kijiji kina watu 100 kura 10,000 ndipo utakapojua kuwa kilichofanyika leo ni usanii mtupu wa kuionesha dunia kuwa Tanzania kuna Demokrasia
 
Nia ni kushinda, ila pale wanapotushinda angalao gap sio kubwa...kinachotakiwa ni sie kuomba tunaposhinda tushinde kwa gap kubwa!
 
Wapiga kura 147

Urais

CCM -72,
CHADEMA - 71,
CUF - 3,
NRA, TLP & APPT - 0.

Uubunge

CCM - 60,
CHADEMA - 72,
CUF - 8,
NCCR - 0,
TLP - 1.

Diwani

CCM - 64,
CHADEM - 64,
CUF - 19
Tunamwomba MUNGu yasibadilike Kote iwe hivyo!
 

WanaChadema mtapigwa butwaa mtakapopata matokeo ya mikoa ya Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Iringa, Morogoro na maeneo ya vijijini nchi nzima.

Mtapigwa ganzi, msiamini kinachotokea
 
Mungu yupo na ushindi upo!
JK inabidi akae karibu na Ambulance
 
WanaChadema mtapigwa butwaa mtakapopata matokeo ya mikoa ya Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Iringa, Morogoro na maeneo ya vijijini nchi nzima.

Mtapigwa ganzi, msiamini kinachotokea

Hi ganzi utapigwa wewe! hao unaodhania hawataki mabadiliko ndio watakaokushangaza, hatukatai kwamba Mkwere hatopata kura cha muhimu ni ngapi? gap yake itazibwa na maeneo kama Rukwa, Mbeya, Arusha, Kilimanjaro, Mara, Kagera, Kigoma n.k.
Tusubiri...
 
Itafutwe namna ya kuripoti haya matokeo. Wataalamu wa IT mtusaidie
 
Urais:

CCM - 27
CHADEMA - 142
CUF - 3

Ubunge:

CCM - 22
CHADEMA - 142
CUF - 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…