jimbo MUHAMBWE wilaya kibondo CCM hoi,NCCR yapeta
Mkuu Pax labda uzifananishe na ile come back ya Liverpool mwaka 2005 ktk fainali ya Champions League dhidi ya AC Milan!
I said once kwamba it will be like Goliath and David.
When God says yes NO one will ever resist much less mafisadi!!!!!!!!!!!!!!
jimbo MUHAMBWE wilaya kibondo CCM hoi,NCCR yapeta
Nimeambiwa Kigoma Mjini CHADEMA wanaongoza kwa mbali kura za ubunge.
Hapa Arusha CCm haina chake chadema imechukua viti 14 mpaka sasa....na kwa mahesabu ya mawakala ni kwamba Lema amemshinda tena kwambali sana mpinzani wake CCM na kwa upade wa Urais nako CCM ina kimbinzwa mfano nimepata matokeo ya kata ya Elerai
Chadema = 48220
ccm= 3992
Acha conter attack, CHADEMA waliweka TRIPLE CENTRE HALF, hakatizi kima yeyote kufunga! Kudadadeki!Hizi counter attack za CHADEMA sijawahi kuziona hata kwenye EPL au bundesliga au spain, ni balaaaaaaaaa!