Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Tarime

me yeyote anae ongelea UDINI nawaita mashetani zaidi ya shetani mwenyewe
 

Mnavyo mkemea huyo ndugu ni vizuri sana ila mnanitia wasiwasi kwani sijaona yoyote kati yenu akimkemea huyu https://www.jamiiforums.com/results...a-awali-toka-mkoa-wa-singida.html#post1198510
 
matokeo yanaonesha dhahir SLAA amepata kura za wakristo (mikoa yenye wakristo wengi)
Tehe tehe teheeeeeeeeeeeeeeee!. Mwaka 2000 wakati Maaskofu wanasema Kikwete ni chaguo la mungu, wavivu wa kufikiri mlikaa kimya (Japokuwa Mrema alihoji). Kumbuka wakati huo F Mbowe aligombea na alikuwa mkristu.
Leo watu wamechagua kiongozi mwenye vision; mawazo mgando yameanza tena! Anakoshinda Slaa ni kwa wakristu. Elimika upate kujikomboa kutoka ktk siasa za maji taka. Vipi, kushupaa kuwa CUF ni chama cha waislam, hapo vipi! Siasa hizo unazifurahia au unaziafiki. Kila la kheri ktk kutumia bongo yako.
 
matokeo yanaonesha dhahir SLAA amepata kura za wakristo (mikoa yenye wakristo wengi)
Technology
Wewe unaangalia kwa miwani ya Udini ndio unayeona hayo, Tena wewe ni mtu hatari sana kwa taifa maana wewe ni muhubiri wa Udini unaliyejificha katika kichaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…