Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
MSHINDI NAFASI YA MWENYEKITI
-Swedi Mkwabi
WASHINDI NAFASI YA WAJUMBE BODI YA WAKURUGENZI.
-Asha Baraka
-Hussein Kitts
-Dkt Zawadi Ally
-Selemani Said
-Mwina Kaduguda.
MAONI YANGU:
Uchaguzi umeisha na waliopita ndo viongozi wetu uwe hukuwapigia kampeni au uliwapigia,uwe huwapendi au unawapenda hao ndo viongozi wetu na si wengine tena,tuheshimu maamzi ya wengi bila kujali wewe ulikuwa upande upi,hivi ndo demokrasia inavyofanya kazi..
Tuuunge mkono kwa nguvu zote uongozi mpya ili simba isonge mbele.
Kwa wale walioshindwa wasiwe na kinyongo na kupelekea figisufigisu,wakubali tu kuwa hata wao kuna siku watakuwa bora mbele ya waliopita,cha muhimu subra na uvumilivu km kweli walikuwa na dhamira ya kweli.
SIMBA NGUVU MOJA
-Swedi Mkwabi
WASHINDI NAFASI YA WAJUMBE BODI YA WAKURUGENZI.
-Asha Baraka
-Hussein Kitts
-Dkt Zawadi Ally
-Selemani Said
-Mwina Kaduguda.
MAONI YANGU:
Uchaguzi umeisha na waliopita ndo viongozi wetu uwe hukuwapigia kampeni au uliwapigia,uwe huwapendi au unawapenda hao ndo viongozi wetu na si wengine tena,tuheshimu maamzi ya wengi bila kujali wewe ulikuwa upande upi,hivi ndo demokrasia inavyofanya kazi..
Tuuunge mkono kwa nguvu zote uongozi mpya ili simba isonge mbele.
Kwa wale walioshindwa wasiwe na kinyongo na kupelekea figisufigisu,wakubali tu kuwa hata wao kuna siku watakuwa bora mbele ya waliopita,cha muhimu subra na uvumilivu km kweli walikuwa na dhamira ya kweli.
SIMBA NGUVU MOJA