Elections 2010 Matokeo Ya Urais, kulikoni jamani?

Aristides

Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
9
Reaction score
0
Jamani wanajamii mbona matokeo ya urais yanatangazwa kwa kusuasua natena kwa upendeleo"naimanisha yanatangazwa kule mgombea wa urais wa CCM anakubalika!
 
Jamani wanajamii mbona matokeo ya urais yanatangazwa kwa kusuasua natena kwa upendeleo"naimanisha yanatangazwa kule mgombea wa urais wa CCM anakubalika!
 
Mwenye matokeo ya majimbo ambayo CHADEMA wameshinda!Plse
 
ndio yanatangazwa sasa, angalia tv utaona live. Jumla yameshatangazwa majimbo 60, Dr. Slaa kashida jimbo moja tuu la Bukoba Mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…