KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Duh yawezekana wadau maana kuna wadada wengine utaona viwiko vimekomaaaa nyeusiiiiiiii vina sugu mtindo mmoja kumbe ni KIFO cha MENDE kwa kwenda mbele hahahahahahahahahahahahahahahaha
Imethibitishwa kuwa, wanawake walio wengi wana viwiko vyeusi.
Weusi au usugu huo unatokana na wao kupendelea au kulazimishwa kutumia kwa muda mrefu staili moja ya kifo cha mende..
na wadada wenye magot i meusi je...?!:becky:
Mmhh, wewe kadadaa una vimsemo weye!.......Mhhhhh hao labda wanapenda dog style.lol
Duh yawezekana wadau maana kuna wadada wengine utaona viwiko vimekomaaaa nyeusiiiiiiii vina sugu mtindo mmoja kumbe ni KIFO cha MENDE kwa kwenda mbele hahahahahahahahahahahahahahahaha
Hizo kwenye Red ni vitu gani
Kiwiko=elbow/ kipepsi (hivi huu msamiati asili yake nini?)
kifo cha mende=missionary style (man on top/ woman on bottom) Hivi mende ndio wanakufaga hivyo?