<br /><br /><br />
<br /><br />
kikubwa ni kuwa na princpal mbili,bt uctegemee ud au sua,hao wako complicated sana.
<br />Hey guys, nimesikia matokeo yatatoka tarehe 3 mwezi wa 8.. Hawa jamaa mbona wanatufanyia hivi? Sipendi ahadi za uongo, walisema yatatoka ktk wiki ya kwanza mwezi wa saba, mpaka leo hamna kitu!
<br />Ahaaa,me nina ya 13 bwana!!na pia niliangalia requirements ya kila programme nlojaza!<br />
<br /><br />
<br />
<br />Siku hizi mambo ni tofauti kabisa,materials yamezagaa lakini watoto hawasomi tena sasa mpaka mtu wa points 17 anapata chuo tena University level..mhh! Elimu mdebwedo kwelikweli
<br />wewe co kwamba wacwac!kuwekana nyumban mwaka mzma anapenda nani?
<br />tcu watatoa majina tar 04.08.11 comfimed!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
waenda vyuo mna mbwembwe! Hivi wakiyatoa sasa yatakufanya uende huko muda huu? Ratiba ya vyuo ipo pale pale.
<br />mbona mkuu unaogopa hivyoo wakati unapelekwa chuo cha kata UDOM
<br /><br /><br />
<br /><br />
sa we ulitaka asipate,au ndo roho mbaya?
<br />Siku hizi mambo ni tofauti kabisa,materials yamezagaa lakini watoto hawasomi tena sasa mpaka mtu wa points 17 anapata chuo tena University level..mhh! Elimu mdebwedo kwelikweli
<br /><br /><br />
<br /><br />
umejitahid but c unajua arts mkopo ni kwa dv 1&2 so ka hujaomba education itakula kwako dogo.
<br />Point 17 inaweza kuwa div IV au div III inategemea umefauluje ktk combination yako!<br />
<br />
Kama una principle 2 hiyo inakuwa div III ila ukiwa na principle 1 inakuwa div IV, kwa mfano ukipata EEF hiyo ni III ya 17 ila ukipata ESS hiyo ni IV ya 17.