Matokeo yamesababisha watoto kukimbia identity zao!

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,986
Reaction score
5,058
Nina binamu yangu mtoto wa anko kamaliza form four 2012. Matokeo yake siyajui na sikuwa na mpango wa kuyafuatilia. Leo nilikuwa na shida na mjomba na simu yake ilikuwa haipatikani, katika kuulizia nikapewa namba ya huyo dogo ili kama yuko nyumbani aniunganishe na mjomba. Nilipompigia akapokea na kujibu, MIMI NI MAMA YAKE, X HAYUPO! akakata simu. Nikapatwa na mshangao kwani najua mke wa anko alifariki, nikapiga tena akanijibu vile vile. Sauti ni yake lakini. Nikamtumia msg kwamba nataka kuongea na anko mimi ni Y, akazima simu kabisa. Kama hali ni mbaya kwa nini usiombe msaada wa ushauri? Kwani ni wa kwanza yeye kufeli? Nawashauri wadogo unapokwama usikimbie matatizo kwa yapo na yataendelea kuwepo!
 
Hii kweli mkuu watoto kama wawili ndugu zangu wameniambia wamesahau namba. Kali zaidi mmoja anaelekeza aulizwe kakaye wanayefuatana kuzaliwa ndo anaweza kumbuka nambaye. Huyo kakaye kamaliza shule mwaka juzi.
 
Hahaah kijana waulize waliopitia hiyo hali watakupa majibu mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…