WAJAMENI, Matokeo yanavyoendeleaKENYA , Odinga hawezi kushinda
Kwa kuwa kura zilizopigwa ni milioni 11, nusu ya hizo nikura milioni 5.5
Kwa kuwa kwa sasa uhuru ana kura milioni 5
Kwa kuwa wagombeawengine nkura zao pamoja na zilizoharibika ni kama 0.5 milioni,
Hii ina maana odinga sasa hawezi kufikisha zaidi ya asilimia50.
Kwa hivyo kinachoendelea ni aidha uhuru atangazwe ktkmajumisho ya kura ya mwisho au aingie duru ya pili kura zisipotosha. Na kwa maana hiyo ODINGAHAWEZI KUSHINDA KWA DURU YA KWANZA.
KWA HIYO HATA KAMA UKILALAUSITEGEMEE UKASIKIA ODINGA ANATANGAZWA KASHINDA.
KUNA MAWILI AIDHA KUWE NADURU YA PILI AU UHURU ATANGAZWE
Kwa kuwa kura zilizopigwa ni milioni 11, nusu ya hizo nikura milioni 5.5
Kwa kuwa kwa sasa uhuru ana kura milioni 5
Kwa kuwa wagombeawengine nkura zao pamoja na zilizoharibika ni kama 0.5 milioni,
Hii ina maana odinga sasa hawezi kufikisha zaidi ya asilimia50.
Kwa hivyo kinachoendelea ni aidha uhuru atangazwe ktkmajumisho ya kura ya mwisho au aingie duru ya pili kura zisipotosha. Na kwa maana hiyo ODINGAHAWEZI KUSHINDA KWA DURU YA KWANZA.
KWA HIYO HATA KAMA UKILALAUSITEGEMEE UKASIKIA ODINGA ANATANGAZWA KASHINDA.
KUNA MAWILI AIDHA KUWE NADURU YA PILI AU UHURU ATANGAZWE