Elections 2010 Matokeo zaidi kutoka Mbeya

Pentest

Member
Joined
Jun 16, 2009
Posts
42
Reaction score
0
Mbeya mjini
kalobe sec 1
Dr=109
Jk=97

ubunge
sugu=119
ccm=80

kalobe sec 2
Dr=107
Jk=76


kalobe sec 5
Dr=93
Jk=85



ubunge
sugu=112
ccm=67
 
SUGU angalau akawatetee wasanii wenzake
 
Sugu moto chini eeeeeeh sugu moto juuuu aaaaaah,mwache sugu akalete changamoto.dr wa ukweli safiiii
mapinduziiii daima
 
Mbeya mjini
kalobe sec 1
Dr=109
Jk=97

ubunge
sugu=119
ccm=80

kalobe sec 2
Dr=107
Jk=76


kalobe sec 5
Dr=93
Jk=85



ubunge
sugu=112
ccm=67

asnte sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Mbeya.Tupeni raha zaidi!!
 
tehe jamani mbona raha sana tu. sugu km namwona moto chini kwa saaaana
 
Mbeya mjini
kalobe sec 1
Dr=109
Jk=97

ubunge
sugu=119
ccm=80

kalobe sec 2
Dr=107
Jk=76


kalobe sec 5
Dr=93
Jk=85



ubunge
sugu=112
ccm=67

asnte sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Mbeya.Tupeni raha zaidi!!
 
SUGU angalau akawatetee wasanii wenzake
te


Akamtetee Afande Sele tuu peke yake maana wengine tumewaona wanavyopapatikia CCM....shame on them Wasaniii...SUGU lazima akasugue...jamaa angu kanambia mpinzani wake yuko HOSPITALINI KWA PRESUER
 
te


Akamtetee Afande Sele tuu peke yake maana wengine tumewaona wanavyopapatikia CCM....shame on them Wasaniii...SUGU lazima akasugue...jamaa angu kanambia mpinzani wake yuko HOSPITALINI KWA PRESUER

Jamani msikeshe mna kunywa pombe. Kazi bado. Mpaka matokeo YOTE ya MZA, Mbeya, k'jaro, Kagera and Moro/Dom yamepatikana. Baada ya hapo ndo watu waende Makanisani, misikitini, kwenye miti, pls don't drink pls......
 
Nasisimkwa hapa. Nakumbuka maneno ya unabii ya sugu...huwezi kuzuia mvua. Sugu ni kama mvua... Dk slaa hoyeeeee!!!!
 
Mbeya mjini
kalobe sec 1
Dr=109
Jk=97

ubunge
sugu=119
ccm=80

kalobe sec 2
Dr=107
Jk=76


kalobe sec 5
Dr=93
Jk=85



ubunge
sugu=112
ccm=67

Hahahaaa, ktovu cha mapinduzi Mbeya.
Raha tunajipa wenyewe.
 
........tunaomba upost sehemu ya mbeya mdau...ili tuwe na mtiririko tukiendelea kufungulia thread kila kitongoji we are going to lose the way
 
Kiwira Tukuyu iko mbeya. Jk 502, Dr slaa 791. Huku ni kijijini hakuna hata bango moja la slaa
 
Kwa matokeo ya mr sugu clouds fm lazima itafute pa kukimbilia.hivi kwa sasa wanatangaza nini ktk matangazo yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…