Matola, Manula, Rweyemamu mmeshaanza vikao vyenu vya kumfukuzisha Fadlu???

Matola, Manula, Rweyemamu mmeshaanza vikao vyenu vya kumfukuzisha Fadlu???

NgerukeAbra

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2022
Posts
1,336
Reaction score
2,008
Sina mengi sana ila habari zimeshavuja.
Mnapenda sana uzawa kwenye timu,hamzingatii uwezo wa mchezaji na kuwakandia wachezaji wa kigeni kuwa si lolote na niwapita njia tuu.

Mnaigawa timu kwa figisu mbalimbali ili timu ipoteze baadhi ya michezo lengo ni kuhakikisha kocha Fadlu anatimuliwa lengo Mgunda apewe nafasi na mishe zenu za asilimia kumi niendelee.
Matola tunakumbuka jinsi ulivyosababishwa tutolewa na Galaxy Juaneng kwa kukaidi maagizo ya aliyekuwa kocha mkuu Didier Gomes.

Tunakumbuka ulivyokuwa unalazimisha Pascal Wawa aingie uwanjani bila ya kumshirikisha aliyekuwa kocha mkuu Pablo.Hii ilitokea wakati Simba ilipokuwa inacheza na KMC katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi (Tabora).
 
Tanzania kua namba 6 katka ligi.bora afrika sio jambo dogo ila inaweza kushuka kwa vibwengo kama nyie mnaotaka kuharibu mpira wa nchi hii, mpira wa kisasa hauhitaji huo ushambenga wenu wa vigodoro , mpira ni pesa, mpira ni ajira, mpira ni mchezo wa wazi unachezwa watu wanaona. Mpira hauhitaj hizo porojo zenu.
 
Tanzania kua namba 6 katka ligi.bora afrika sio jambo dogo ila inaweza kushuka kwa vibwengo kama nyie mnaotaka kuharibu mpira wa nchi hii, mpira wa kisasa hauhitaji huo ushambenga wenu wa vigodoro , mpira ni pesa, mpira ni ajira, mpira ni mchezo wa wazi unachezwa watu wanaona. Mpira hauhitaj hizo porojo zenu.
Sifikirii kama unafuatilia mpira
 
Back
Top Bottom