Matola Mungu anakuona

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Yanga 1-1 lipuli

Simba 1-1 lipuli

Binafsi nimependezwa na mwalimu huyu yupo professional zaidi tofauti na minziro na Julio ambao wanajulikuna

 
Matola the BIG Fish in town
 
Ukweli usemwe Simba huwa inaumizwa zaidi na watu wanaohusiana zaidi kuliko timu nyingine yoyote hapa nchini. Nadhani falsafa ya Simba ni urafiki nyumbani, uwanjani kazi. True professionalism
 
Simba Sports Club, msajirini Asante Kwasi kwenye hili dilisha dogo achukue nafasi ya beki Mwanjali ambaye inaonekana Umri unamsumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…