unatakiwa kuwapongeza lipuli, wamejitahidi sana. kwanza ujue ndala a.k.a Yeboyebo walikuwa wanagomboa, na almanusura waongezewe lingine. badala ya kuwakatisha tamaa, wapongeze. wale Lipuli wakikaa vizuri hata simba wanaweza kuwasumbua vizuri tu. ngoja tuone mechi ijayo.