Anasema ameibiwa nini? Kuna Zuwena ya Marijani, Shida ya Mbaraka Mwinsehe, kuna Bambo, Muhogo mchungu, Mr. Nice na wengine kibao hadi Nyerere na TANU hao wote ni mali ya Matonya.??Njaa ni kitu kibaya sana
Ukijibiwa niite mke mwenza."Maswala ya zilipendwa zilishaimbwa na matonya"
Hii sentensi yako ina ukakasi mahali...ina maana mtu akiimba maswala ya upinzani/kilimo/kufumaniwa haruhusiwi msanii mwingine kuja kuimba masuala hayo hayo yalioimbwa na waliopita?
Nikieleweshwa nitashukuru.
naona ume mind kuliko mond mwenyewe!!!!!!Anasema ameibiwa nini? Kuna Zuwena ya Marijani, Shida ya Mbaraka Mwinsehe, kuna Bambo, Muhogo mchungu, Mr. Nice na wengine kibao hadi Nyerere na TANU hao wote ni mali ya Matonya.??
ACHA nikae KIMYA...!
Ameibiwa Idea? Matonya ameimba wimbo wenye Idea ya kuumizwa kimapenzi, yeye hakukopi? Kila unachoimba Leo kilikuwa idea ya mtu zamani na kuna mtu alishakiimba, uitwe mwizi wa idea??Matonya yuko sahihi Ku claim, kwa sababu ..diamond amechukua the whole idea ya nyimbo ya matonya, maswala ya zilipendwa ilishaimbwa na matonya and everyone knows , sasa matonya asidai haki yake??.....ivi ingekuwa diamond katoa alafu matonya akaja kuimba tena... Unadhan ingekuwajee?....matonya apewe credit zake bana
Hamza kalala-nimekusameheMatonya yuko sahihi Ku claim, kwa sababu ..diamond amechukua the whole idea ya nyimbo ya matonya, maswala ya zilipendwa ilishaimbwa na matonya and everyone knows , sasa matonya asidai haki yake??.....ivi ingekuwa diamond katoa alafu matonya akaja kuimba tena... Unadhan ingekuwajee?....matonya apewe credit zake bana
Naomba uniambie maana ye neno hili ulilotumia -amekupiwa?Sasa amekupiwa nini kwenye huo wimbo? Yeye ni mmiliki wa neno Zilipendwa?
Unajua hawa wasanii walivyosikia kuwa AY na FA wamepiga hela kupitia Tigo basi wanafikiri ni rahisi tuu basi unapewa hela...Sijaona ni wapi WCB wamekopi kutoka kwa Diamond zaidi ya kufanana kwa jina la wimbo maana melody,beat,maneno na kila kitu ni tofauti kabisa...
Sasa ana fananisha na swala la saida wakati kwa saida ni kweli walikopi kila kitu tofauti na yake ambayo ina tofauti...
Matonya mjini hakuna hela ya bure utasaga meno.
Mnaleta hoja nyepesi mno? Hii nayo ni hoja eti kaibiwa Idea? Alikuwa wapi kuilinda kwa hati miliki tujue Sasa neno "zilipendwa" ni mali ya Matonya na wengine marufuku kulitumia?naona ume mind kuliko mond mwenyewe!!!!!!
Kaka mi sipo huko ulikoMnaleta hoja nyepesi mno sijui mmezaliwa mortuary? Hii nayo ni hoja eti kaibiwa Idea? Alikuwa wapi kuilinda kwa hati miliki tujue Sasa neno "zilipendwa" ni mali ya Matonya na wengine marufuku kulitumia?
ACHA nikae KIMYA...!
Mi naona kesi iiende mahakamani tuone kama atashinda. Na itakuwa ni fundisho kwa vilazaUkijibiwa niite mke mwenza.
Nishaona wabongo kibao wanaxhukua title za muziki ambao zishawahi kuwapo hapo awali. No credit to demand,since zilipendwa ni neno ambalo Hata Ex wako unaweza muita.
Anaitwa basata ana trade mark nalo???
Sasa hivi nasikia kaja kwakoNa ww bwana wako yule uliyepata yuko wap?
Sasa amekupiwa nini kwenye huo wimbo? Yeye ni mmiliki wa neno Zilipendwa?
Unajua hawa wasanii walivyosikia kuwa AY na FA wamepiga hela kupitia Tigo basi wanafikiri ni rahisi tuu basi unapewa hela...Sijaona ni wapi WCB wamekopi kutoka kwa Diamond zaidi ya kufanana kwa jina la wimbo maana melody,beat,maneno na kila kitu ni tofauti kabisa...
Sasa ana fananisha na swala la saida wakati kwa saida ni kweli walikopi kila kitu tofauti na yake ambayo ina tofauti...
Matonya mjini hakuna hela ya bure utasaga meno.
Shoga yake dada bhna