Nilifika kijiji fulani huko kusini nyanda za juu,nikasikia hadithi eti kuna mzee mmoja kijijini pale analimisha watu usiku ktk mashamba yake, hii teknolojia itabidi itumike sasa, unafika pale buguruni stand ya daladala au mwenge unafanyizia mateja ili usiku yaje kulima Bagamoyo au mkuranga.Itakuwa poa kweli tehEEeee.
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa ajili ya KILIMO KWANZA!. kama kuna mtu anahitaji basi tuwasiliane kupitia no.+447818716685
See pics of the tractors attached!
View attachment 17277cView attachment 17276hView attachment 17275eView attachment 17277dView attachment 17276!View attachment 17275
Asanteni!
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa ajili ya KILIMO KWANZA!. kama kuna mtu anahitaji basi tuwasiliane kupitia no.+447818716685
See pics of the tractors attached!
View attachment 17277cView attachment 17276hView attachment 17275eView attachment 17277dView attachment 17276!View attachment 17275
Asanteni!
Ndugu zangu watanzania, mimi naishi uiengereza, miaka 6 iliyopita natuma matctor yaa massey ferguson Tanzania, kama unataka nipigia simu, angalia attachment ya sample moja.
View attachment 17642
Warm Regards
Hivi nikiweka benki milioni 57 riba yake si inaotosha kusukuma siku bila ya kununua hilo trekta?What? Paundi 25,000? Tatizo la wafanyabiashara ndo hili, serikali inaondoa kodi kwenye matrekta ili watu waweze kumudu kununua ninyi mnataka super profit. Sasa hebu niambie katika hali ya kawaida unafuu uko wapi wa kuuziwa trekta kwa zaidi ya miloni 57 za TZ? wizi mtupu.
Bei zipo katika attachments ni kwenye range ya £25,000 kwenda juu
<br />Hivi nikiweka benki milioni 57 riba yake si inaotosha kusukuma siku bila ya kununua hilo trekta?<br />
Hizi ni fikira za Kimasaburi masaburi
Hapo inabidi mtu ufanye utafiti kwanza vinginevyo utaumia, MF6480 au 7000 series yana bei kubwa sana kwa mkulima wa kitanzania halafu technologia zake ni za kisasa zaidi inabidi upate dereva wa uhakika kuweza kuitumia ipasavyo, MF500 series ni ya zamani wala hayatengenezwi tena, likikualibikia tabu kupata spare parts. Nadhani ni bora kama unataka kununua uwasiliane kwanza na wataalam wa kilimo nchini ili upate maoni yao.
Sawa wazee nimewasikia, mengine haya hapa kwa bei ambayo affordable kwenu kuanzia £3,000, naomba walio serious na Kilimo Kwanza na wakulima wafanyabiashara kama kuna tractor ambalo unaona litakufaa kwa kilimo nitumie email for more details. otherwise wish you all the best
Thanks!View attachment 17396View attachment 17397View attachment 17398View attachment 17399
View attachment 17400View attachment 17401
SEE ATTACHMENTS
We mpigaji bana yani umeanza na pound 25,000 ukidai ndio bei poa hadi pound 3,000?hapo ndio nn kuwa ni discount au ni bei ya sale?
mkuu matusi hayo sasa, ina maana bulldoza anapigwa?Kwa kuwa umeshazoea kupigwa basi unawaza kupigwa tu!, matractor ya awali ni mapya na ya pili ni used.......
mkuu matusi hayo sasa, ina maana bulldoza anapigwa?
tuondolee ujinga wako hapakuna kigogo mmoja alipewa bure kama msaada alipokwenda vietnam, yalipoletwa umeibuka mradi wa kuuza matrekta wa SUMA JKT. I hope haya hayakuja kwa style hiyo