A
Anonymous
Guest
Hii kitu inanikera sana na inaniacha na maswali mengi. Hii hasa ipo kwa magari ya Kawe pale karibu na kituo cha Jeshini, na njia ya kwenda Makumbusho kutokea Kinondoni Studio karibu na kituo cha daladala cha Vijana.
Askari hao wanasimamisha kila daladala inayopita na konda anakunja hela Tsh 2,000 kwenye kijikaratasi na kumpa askari aliyesimamisha gari.
Maswali ya kujiuliza
- Je, hile hela huwa ni ya nini?
- Na kwanini wanapewa kwa kuficha?
- Je huwa Serikali inaipata kwa namna gani?
- Je kwanini maaskari huwa hawakagui gari wanapewa pesa bila utaratibu?
inakera sana.
Askari hao wanasimamisha kila daladala inayopita na konda anakunja hela Tsh 2,000 kwenye kijikaratasi na kumpa askari aliyesimamisha gari.
Maswali ya kujiuliza
- Je, hile hela huwa ni ya nini?
- Na kwanini wanapewa kwa kuficha?
- Je huwa Serikali inaipata kwa namna gani?
- Je kwanini maaskari huwa hawakagui gari wanapewa pesa bila utaratibu?
inakera sana.