Sio kweli uongo huo,Kule Msanga Zalala, Kisarawe kuna mganga, wanawake wa mjini Daslamu na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu, ni mganga ambae anaua kabisa yani jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa. Nenda katesti mitambo basi ili tuje " tunywe uji" kwenye msiba wako.
Uganga ni fani iliyovurugwa sana, ni kama uchungaji na unabii siku hizi. Kuna waganga wa aina 2; wale wa kweli na wale feki. Inaonekana huyo alikuwa yule wa kweli, na mganga wa kweli hafanyi chochote kibaya kwa mtu hata iweje na hawa ni wachache mno utazunguka mikoa kadhaa kumpata mmoja tu.Likizo moja mwaka 2021 nilienda kula X mas ujombani,nikakuta mganga maarufu hapo kijijini amekwenda kituo cha polisi kuripoti juwa ameibiwa TV yake
2.Kuna familia moja naifahamu haba yao ni mganga ila cha ajabu juna wahuni wanachepuka na mke wa huyo mganga na juba jamaakampiga ujauzito binti wa mganga na kuijataa mimba,jamaa mpaka leo yupo anadunda
JichanganyeUganga ni fani iliyovurugwa sana, ni kama uchungaji na unabii siku hizi. Kuna waganga wa aina 2; wale wa kweli na wale feki. Inaonekana huyo alikuwa yule wa kweli, na mganga wa kweli hafanyi chochote kibaya kwa mtu hata iweje na hawa ni wachache mno utazunguka mikoa kadhaa kumpata mmoja tu.
Mzee wa kazi mpe itifaki.Jichanganye
Jamaa hajui kua Kuna waganga makatili sana...hao wasiofanya lolote ni waganga mapimbi tuMzee wa kazi mpe itifaki.
Yuko mganga anaitwa msabato Yuko melela mlandizi huko morogoro alishatoa tàngazo kua ikiwa Kuna nabii yoyote ama mchungaji yoyote anaamini anà nguvu na upako wa kweli aende Waka battle na irushwe live..hadi Leo hakuna aliejitokeza😂😂😂😂Mzee wa kazi mpe itifaki.
unavyofikiri waganga hawana shida?Likizo moja mwaka 2021 nilienda kula X mas ujombani,nikakuta mganga maarufu hapo kijijini amekwenda kituo cha polisi kuripoti juwa ameibiwa TV yake
2.Kuna familia moja naifahamu haba yao ni mganga ila cha ajabu juna wahuni wanachepuka na mke wa huyo mganga na juba jamaakampiga ujauzito binti wa mganga na kuijataa mimba,jamaa mpaka leo yupo anadunda
Ni ukweli mgumu sana kuuona hasa kwa wakristo, lakini ndio hivyo.Jichanganye
Hao wote Kama samaki tu, wavu mmoja Bei tofauti.Kama wapo kweli mbona CCM hawawatumii kudhibiti wapinzani? maanake ingekuwa rahisi sana
Wachungaji wamekula konaYuko mganga anaitwa msabato Yuko melela mlandizi huko morogoro alishatoa tàngazo kua ikiwa Kuna nabii yoyote ama mchungaji yoyote anaamini anà nguvu na upako wa kweli aende Waka battle na irushwe live..hadi Leo hakuna aliejitokeza😂😂😂😂