Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
๐ ๐ฎ๐๐๐ธ๐ถ๐ผ ๐บ๐ฎ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ป๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ผ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐ฏ๐น๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฌ๐ฐ๐ฌ ๐ฆ๐ถ๐ผ ๐บ๐ฐ๐ต๐ฒ๐๐ผ
Kabla hatujafikia mwaka 2040 kuna miaka 15 ndani yake kutatokea matukio ya Aiabu kwenye Sayari yetu ambayo mengi ni ya kushangaza.
Haya ni matukio adimu sana yatatokea kuhusu sayari na Anga kwa ujumla ambayo yatajitokeza dunia kwa miaka 15 mpaka miaka 100 ijayo watu wengi mtashangaa Maajabu ya Sayari zilizoumbwa na Mwenyezi Munguโ๏ธ.
๐จ 2025 โ๏ธsolar storm
Hiki ni dhoruba la jua ambalo litaweza kuikumbuka dunia watu wataweza kuona dunia itakumbwa na dhoruba ya jua kuwa kali mara kumi yake ambapo inaitwa solar flare na kupelekea baadhi ya satellite kuharibika na dunia kukosa intaneti kwa muda wa siku kadhaa ulimwengu utakua Kimya.
๐จ 2027 kupatwa kwa jua kurefu zaidi
Hii tunaita LONGEST SOLAR ECLIPSE ambapo jua litapatwa ambapo itachukua muda mrefu zaidi itachukua dakika 6 na sekunde 33 itakua Agosti ambapo mara ya mwisho kutokea kupatwa kwa jua ilikaa muda mrefu ni mwaka 2009 na nyingine itatokea mwaka 2114.
๐จ 2029 Apophis Asteroid
Hili ni jiwe kubwa jeusi litaweza kujitokeza kwenye Dunia na kuweza kuonekana ambayo huzunguka Jua na kuja karibu Dunia iligundulika mwaka 2004 inajulikana kama 99942 Apophis.
๐จ 2034 Mvua ya kimondo
Tunaita leonid Meteor shower ambapo itakua mlipuko mkubwa wa mvua wa vimondo mkali mwaka 2034 ikiwa na dhoruba ya nyota zaidi 100,000 zitakazo sambaa angani na kupasuka pasuka kwa kishindo.
Sababu kubwa ni inayosababisha ni mvua ya kimondo inatarajiwa kurudi kwenye mfumo wa jua mwaka 2031.
Ni nini husababisha mvua ya kimondo ya Leonid?
Mvua husababishwa na vumbi na uchafu ulioachwa na comet 55P/Tempel-Tuttle.
๐จ Safari ya Mercury kwenye Jua
Novemba 7 2039 kutakua sayari ya Mercury itaweza kusafiri kwenye uso wa jua, usafiri huo utaweza kuonekana kwenye sehemu fulani ya dunia ambapo baadhi ya nchi wataweza kuona safari hiyo ya Mercury.
๐จ Septemba 8 2040
Utaweza kuona kupitia macho yako sayari zikijipanga kwenye Uso wa dunia kuanzia Mercury, Venus, Mars, Jupiter na Saturn ๐ช ambapo mwezi utawekwa kati kati ya sayari ya Venus na Saturn.
Usisahau kutufuatilia kupitia page yetu ya Instagram kujifunza mengi zaidiโ๏ธ
Kabla hatujafikia mwaka 2040 kuna miaka 15 ndani yake kutatokea matukio ya Aiabu kwenye Sayari yetu ambayo mengi ni ya kushangaza.
Haya ni matukio adimu sana yatatokea kuhusu sayari na Anga kwa ujumla ambayo yatajitokeza dunia kwa miaka 15 mpaka miaka 100 ijayo watu wengi mtashangaa Maajabu ya Sayari zilizoumbwa na Mwenyezi Munguโ๏ธ.
๐จ 2025 โ๏ธsolar storm
Hiki ni dhoruba la jua ambalo litaweza kuikumbuka dunia watu wataweza kuona dunia itakumbwa na dhoruba ya jua kuwa kali mara kumi yake ambapo inaitwa solar flare na kupelekea baadhi ya satellite kuharibika na dunia kukosa intaneti kwa muda wa siku kadhaa ulimwengu utakua Kimya.
๐จ 2027 kupatwa kwa jua kurefu zaidi
Hii tunaita LONGEST SOLAR ECLIPSE ambapo jua litapatwa ambapo itachukua muda mrefu zaidi itachukua dakika 6 na sekunde 33 itakua Agosti ambapo mara ya mwisho kutokea kupatwa kwa jua ilikaa muda mrefu ni mwaka 2009 na nyingine itatokea mwaka 2114.
๐จ 2029 Apophis Asteroid
Hili ni jiwe kubwa jeusi litaweza kujitokeza kwenye Dunia na kuweza kuonekana ambayo huzunguka Jua na kuja karibu Dunia iligundulika mwaka 2004 inajulikana kama 99942 Apophis.
๐จ 2034 Mvua ya kimondo
Tunaita leonid Meteor shower ambapo itakua mlipuko mkubwa wa mvua wa vimondo mkali mwaka 2034 ikiwa na dhoruba ya nyota zaidi 100,000 zitakazo sambaa angani na kupasuka pasuka kwa kishindo.
Sababu kubwa ni inayosababisha ni mvua ya kimondo inatarajiwa kurudi kwenye mfumo wa jua mwaka 2031.
Ni nini husababisha mvua ya kimondo ya Leonid?
Mvua husababishwa na vumbi na uchafu ulioachwa na comet 55P/Tempel-Tuttle.
๐จ Safari ya Mercury kwenye Jua
Novemba 7 2039 kutakua sayari ya Mercury itaweza kusafiri kwenye uso wa jua, usafiri huo utaweza kuonekana kwenye sehemu fulani ya dunia ambapo baadhi ya nchi wataweza kuona safari hiyo ya Mercury.
๐จ Septemba 8 2040
Utaweza kuona kupitia macho yako sayari zikijipanga kwenye Uso wa dunia kuanzia Mercury, Venus, Mars, Jupiter na Saturn ๐ช ambapo mwezi utawekwa kati kati ya sayari ya Venus na Saturn.
Usisahau kutufuatilia kupitia page yetu ya Instagram kujifunza mengi zaidiโ๏ธ