Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Siamini Musoma Mjini hadi kudeki kilometer 7 za barabara, CDM na kapi lao wataambulia madiwani wawili, Hakika Mungu mkubwa
 
Nasikia maalim seif yupo katika kikao, ccm hawataki kutoka ikulu, usalama na viongozi wastaafu wanaongea na maalim kukubali mashart yao ili atangazwe. Hii ndio habari tulio pata kwa ujumbe wa simu
 
Nasikia maalim seif yupo katika kikao, ccm hawataki kutoka ikulu, usalama na viongozi wastaafu wanaongea na maalim kukubali mashart yao ili atangazwe. Hii ndio habari tulio pata kwa ujumbe wa simu

Mkuu Ghibuu hebu rudia! Wakubali masharti yao? Yepi Mkuu?
 
...matokeo ya kawe magamba yanataka kuchakachua, hayataki kutangaza mshindi.!!
 
Wanaoeneza uvumi waache kuhusu MDEE, Matokeo ni kama hivi
CHADEMA 107989 CCM 90145, hivyo MDEE ameshinda kwa tofauti ya Kura 17844.

Nashangaa mods mnawaachia wanaoeneza uvumi wa uongo kuhusu Mdee.

Au mods wametekwa na Kova na Nado. Hawa mods wa sasa ni st peters?
 
lissu kashinda mdee bado hayajatangaWa
Hebu fikiria mwanamume tena wanasema msomi na baba yake ni mzae aliyekuwa akinadi uadilifu. Bila hata haya unaamua kwenda bungeni kwa kumuibia kura tena dada mdogo!
Hii nchi ndio maana inapata laana!
 

Hongera sana mkuu, kwa sisi wataalam wa saikolijia hii uliyotumia ni njia bora sana ya kujiandaa kupokea matokeo ya mwisho,... Nakuomba usiwe mchoyo embu waambukize na wenzio.
 
Kanda ya ziwa kuna wasukuma tu? Mabila mengine je? Na huko mikoa ya kusini je? Kiufupi ni kua MAGUFULI KAMALIZA KAZI....Acheni kuleta mipasuko isiyo kua na maana....


Ukanda wa kusini??..unazungumzia Lindi na Mtwara, Ruvuma..ukanda wa kati Dodoma na (baadhi ya naeneo ya morogoro)!!??.. Ha ha ha hii ni mikoa isiyojielewa ..Dodoma ni makao makuu ya nchi ndipo bunge lilipo na makao makuu ya ccm tokea uhuru hadi leo dodoma mjini wanakunywa maji ya visima ( maji yenye rangi ya maziwa) ombaomba kibao kila kona ya mji....Lindi vitenge vinawaponza kila mwaka ...wengi wao hawajaenda shule hongo ya butu tano kura kwa mkoloni mweusi!!
 
Hongera sana mkuu, kwa sisi wataalam wa saikolijia hii uliyotumia ni njia bora sana ya kujiandaa kupokea matokeo ya mwisho,... Nakuomba usiwe mchoyo embu waambukize na wenzio.

Hivi nani katuroga! !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…