Matukio ya picha toka viota vya marahai weekend hii

Hapo mwanzo dunia ilpoumbwa binadamu walikua wanatembea uchi! sishangai kama sasa hivi dunia inarudi kulekule tulipotoka ni kama tunavyoona kizazi hiki kinachojiita kipya kuanza kuvaa nusu uchi! MOLA Tusaidie tujue hiki kizazi kinakwenda wapi:help:😛ray:
 
Mkuu huyo binti aliyevaa kachupi nje nje namjua, yupo mtaani kwetu anaitwa Tina, aiseee................baba yake mlokole!!
 
Mkuu huyo binti aliyevaa kachupi nje nje namjua, yupo mtaani kwetu anaitwa Tina, aiseee................baba yake mlokole!!
Ina maana huyu hapa na mtaani kweni ni wapi mkuu??

 

Attachments

  • 2.JPG
    66.9 KB · Views: 1,161
mwisho wa dunia unapokaribia mambo yanakuwa kizungumkuti!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tahadharitu kwa wale wala bata, kunahaja ya kua makini manake unaeza jikuta hapa ukiwa umembambia mke/mme wa mtu af mkeo/mmeo anakuview2. manake El Toro sasa watisha.
 
Ungepita na mahali fulani twanga wanapiga kila j'mosi...ni aibu..
 
Mkuu huyo binti aliyevaa kachupi nje nje namjua, yupo mtaani kwetu anaitwa Tina, aiseee................baba yake mlokole!!

Oh!Tina njoo utulize mtima wa moyo wangu!naomba namba yake ya simu please!!
 

Si kweli walivaa majani na magome ya miti, rejea hadithi Adam na Hawa.
 
Vijana, hayo ni mambo ya Bili au?
 
ukitaka kwenda kunyoosha macho na kuchakachua ubongo kwa vichupi tembelea pande za Kunduchi Beach Hotel (Wet n' Wild) utachoka mwenyewe na mapaja ya watoto wa kibongo
 
hii ilikuwa eviction party ya wale vijana wa BSS..........
 


Mi naomba tu kuuliza hivi hawa wadada wa siku hizi bila ya kuonyesha chupi zao huwa hawajisikii vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…