Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkoa wa Mbeya ni moja kati ya mkoa iliyopo katika Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania. Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watukatika Mkoa wa Mbeya ni 2,343,754; wanaume 1,123,823 na wanawake 1,219,926
Mji wa Mbeya ulianzishwa na wakoloni Waingereza mnamo mwaka 1927. Wakati huo dhahabu ilianza kupatikana katika milima iliyopo karibu na Mbeya hadi Chunya hivyo Mbeya ulikuwa ni mji wa mapumziko kwa Wazungu kutokana na hali yake nzuri ya hewa, hali iliyosababisha mji wa Mbeya kupewa jina la utani kama "The Scotland of Africa"
Majimbo ya Mkoa wa Mbeya ni pamoja na; Lupa, Mbarali, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini, Rungwe Magharibi, Busokelo, Kyela.
SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Halmashauri za Mkoa wa Mbeya
Busokelo, Chunya, Kyela, Mbarali, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini na Rungwe.
Soma Pia:
MAMLAKA ZA MIJI
Jiji la Mbeya
Kata: 36
Mitaa: 181
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Busokelo
Kata: 13
Vijiji: 56
Vitongoji: 237
Wilaya ya Chunya
Kata: 20
Vijiji: 43
Vitongoji: 233
Wilaya ya Kyela
Kata: 33
Vijiji: 93
Vitongoji: 407
Wilaya ya Mbarali
Kata: 20
Vijiji: 102
Vitongoji: 712
Wilaya ya Mbeya
Kata: 28
Vijiji: 140
Vitongoji: 903
Wilaya ya Rungwe
Kata: 29
Vijiji: 99
Vitongoji: 459
Jumla Kuu
Kata: 179
Mitaa: 181
Vijiji: 533
Vitongoji: 2951
Hali ya Kisiasa
Katika mkoa wa Mbeya kumekuwa na ushindani mkubwa sana wa kisiasa ambao unatoka kwa CCM pamoja na CHADEMA licha CCM ameonekana kuendelea kuchukua nafasi nyingi zaidi kuanzia Serikali za Mitaa hadi majimbo.
Katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 Halmashauri ya Mbeya yenye mitaa 179, CCM ilishinda 103, CHADEMA 74 na NCCR-Mageuzi mitaa miwili; Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya yenye vijiji 72, CCM ilipata 52, CHADEMA 20; Chunya yenye vijiji 69, CCM ilipata 66 na CHADEMA vitatu; Mbarali yenye vijiji 93, CCM ilipata 78 na CHADEMA 15; Kyela vijiji 92, CCM imepata 79 Chadema 13, wakati Ileje yenye vijiji 70, CCM imepata 53, Chadema 15 na TLP kijiji kimoja.Halmashauri ya Wilaya ya Momba yenye vijiji 86, CCM ilivuna 77 na CHADEMA 9 na Busokelo yenye vijiji 56, CCM ilipata 51 na CHADEMA 5.
Ukitazama pia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 katika majimbo ya uchaguzi 13 CCM walishinda viti 9 huku CHADEMA wakishinda viti 4 tu. Lakini kwa mwaka 2019 katika uchaguzi wa serikali za mitaa kulitokea dosari ambayo tulishuhudia CCM ikishinda viti vingi na wengine wakipita bila kupingwa katika uchaguzi huo.
Ukitazama pia katika uchaguzi mkuu 2020 nao pia katika jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 CCM walishinda viti vyote. Sasa tunaelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa tunatamani mamlaka husika kufanya kazi zao kwa uweldi bila kuonyesha kupendelea upande wowote ule, ili kila chama kishiriki vyema uchaguzi huu kwa uhuru na haki.
Pia Soma,
Mji wa Mbeya ulianzishwa na wakoloni Waingereza mnamo mwaka 1927. Wakati huo dhahabu ilianza kupatikana katika milima iliyopo karibu na Mbeya hadi Chunya hivyo Mbeya ulikuwa ni mji wa mapumziko kwa Wazungu kutokana na hali yake nzuri ya hewa, hali iliyosababisha mji wa Mbeya kupewa jina la utani kama "The Scotland of Africa"
Majimbo ya Mkoa wa Mbeya ni pamoja na; Lupa, Mbarali, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini, Rungwe Magharibi, Busokelo, Kyela.
SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Halmashauri za Mkoa wa Mbeya
Busokelo, Chunya, Kyela, Mbarali, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini na Rungwe.
Soma Pia:
- Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024
- Imekaaje ukurasa wa Tamisemi huko Twitter kueleza habari za Ilani ya CCM?
- Mchengerwa: Matokeo ya uchaguzi kutangazwa ndani ya saa 72
MAMLAKA ZA MIJI
Jiji la Mbeya
Kata: 36
Mitaa: 181
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Busokelo
Kata: 13
Vijiji: 56
Vitongoji: 237
Wilaya ya Chunya
Kata: 20
Vijiji: 43
Vitongoji: 233
Wilaya ya Kyela
Kata: 33
Vijiji: 93
Vitongoji: 407
Wilaya ya Mbarali
Kata: 20
Vijiji: 102
Vitongoji: 712
Wilaya ya Mbeya
Kata: 28
Vijiji: 140
Vitongoji: 903
Wilaya ya Rungwe
Kata: 29
Vijiji: 99
Vitongoji: 459
Jumla Kuu
Kata: 179
Mitaa: 181
Vijiji: 533
Vitongoji: 2951
Hali ya Kisiasa
Katika mkoa wa Mbeya kumekuwa na ushindani mkubwa sana wa kisiasa ambao unatoka kwa CCM pamoja na CHADEMA licha CCM ameonekana kuendelea kuchukua nafasi nyingi zaidi kuanzia Serikali za Mitaa hadi majimbo.
Katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 Halmashauri ya Mbeya yenye mitaa 179, CCM ilishinda 103, CHADEMA 74 na NCCR-Mageuzi mitaa miwili; Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya yenye vijiji 72, CCM ilipata 52, CHADEMA 20; Chunya yenye vijiji 69, CCM ilipata 66 na CHADEMA vitatu; Mbarali yenye vijiji 93, CCM ilipata 78 na CHADEMA 15; Kyela vijiji 92, CCM imepata 79 Chadema 13, wakati Ileje yenye vijiji 70, CCM imepata 53, Chadema 15 na TLP kijiji kimoja.Halmashauri ya Wilaya ya Momba yenye vijiji 86, CCM ilivuna 77 na CHADEMA 9 na Busokelo yenye vijiji 56, CCM ilipata 51 na CHADEMA 5.
Ukitazama pia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 katika majimbo ya uchaguzi 13 CCM walishinda viti 9 huku CHADEMA wakishinda viti 4 tu. Lakini kwa mwaka 2019 katika uchaguzi wa serikali za mitaa kulitokea dosari ambayo tulishuhudia CCM ikishinda viti vingi na wengine wakipita bila kupingwa katika uchaguzi huo.
Ukitazama pia katika uchaguzi mkuu 2020 nao pia katika jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 CCM walishinda viti vyote. Sasa tunaelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa tunatamani mamlaka husika kufanya kazi zao kwa uweldi bila kuonyesha kupendelea upande wowote ule, ili kila chama kishiriki vyema uchaguzi huu kwa uhuru na haki.
Pia Soma,
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
- Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
- Sugu aendelea kusafisha Mabaki ya CCM Mbeya Mjini, Leo ni zamu ya Kata ya Isyesye
- SATIVA: Mbeya Mjini Haina Faida kuwa na Mbunge Ambaye ni Spika
- Mbunge Atupele Mwakibete Achangia Tsh. Milioni 15 Ujenzi Nyumba ya Mwalimu Busokelo Boys
- Mbeya: TAMISEMI yapongezwa kusimamia vizuri kura za maoni Uchaguzi Serikali za Mitaa, wasema wana imani na sheria na kanuni zilizowekwa
- Freeman Mbowe kuzindua Kampeni za CHADEMA Mkoa wa Songwe
- Makalla: Chagueni wagombea wa CCM wale wa CHADEMA Mbowe kasema hawana ILANI ni hatari kuwa na kiongozi bila kuwa na Mkataba wa atakufanyia nini
- Joseph Mbilinyi: CCM hawana Maarifa, Wanavuruga Uchaguzi, Wanategemea Dola, wanateka watu na kuua watu ili kutia hofu raia
- Spika Tulia ashiriki ibada ya madhabahu ya sauti ya uponyaji. Mkienda na kwa waganga pia mturushie na picha!
- Sugu: CCM imepoteza ushawishi inatengenezea wananchi hofu
- Kada wa CCM Mbeya: Ukivamia mikutano ya CCM umekubaliana na kuumia au kufa, tanapotafuta nafasi roho zetu zinabadilika
- Mbona Tulia Ackson kaanza kampeni mapema hivi? Azindua ofisi ya Chama cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Mjini
- Mbeya: Viongozi wa dini wahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura
- Mbeya : Vituo vya kupigia kura havina ukaguzi wa majina Kwenye daftari,kila mtu anapiga tu.
- Dkt.Tulia Ackson : Kunakushinda na kushindwa tuwe watulivu
- CHAUMA yapata ushindi wa kiti 1 kati ya viti 181 Mbeya na kuwa chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi mkoani humo