LGE2024 Matukio Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024

LGE2024 Matukio Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
1726488956640.jpeg
Mkoa wa Dodoma unapatikana katikati ya Tanzania, unapakana na mikoa ya Manyara, Morogoro, Iringa na Singida. Mkoa wa Dodoma una ukubwa wa takriban kilomita za mraba 41,310.

Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni makao makuu ya serikali, ambapo bunge na ofisi nyingi za kitaifa zipo.

Idadi ya Watu

Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Dodoma una jumla ya watu 3,085,625. Idadi hii inajumuisha wanaume na wanawake kwa uwiano ufuatao:
  • Wanaume:1,512,760
  • Wanawake: 1,572,865
Mkoa wa Dodoma una jumla ya Wilaya 8. Majina ya Wilaya pamoja na idadi ya watu kwa jinsia
  1. Bahi(322,526 ) Wanaume - 156,427 Wanawake-166,099
  2. Chamwino(486,176) Wanaume -236,583 Wanawake-249,593
  3. Chemba(339,333 ) Wanaume-170,837 Wanawake-168,496
  4. Jiji la Dodoma (765,179 ) Wanaume - 373,440 Wanawake -391,739
  5. Kondoa(244,854) Wanaume-124,379 Wanawake- 120,475
  6. Kondoa Mjini(80,443) Wanaume-40,153 Wanawake-40,290
  7. Kongwa(443,867 ) Wanaume- 214,475 Wanawake-229,392
  8. Mpwapwa(403,247) Wanaume- 196,466 Wanawake-206,781
1727707716389.png
Mkoa wa Dodoma una jumla ya kata 209 zilizogawanyika katika wilaya 8

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Mchanganuo wa Vijiji, Mitaa, Kata na Vitongoji kwa Mkoa wa Dodoma

1 Jiji la Dodoma: Lina Kata 41 Mitaa 222, hakuna vijiji Wala Vitongoji

2 Mji Mdogo wa Kondoa: Una kata 8 n Mitaa 36 hakuna vijiji wala Vitongoj

3. Wilaya ya Bahi: Una kata 22, Vijiji 59 Vitongoji 552 Hakuna mitaa

4. Wilaya ya Chamwino: Kuna kata 36 Vijiji 107 Vitongoji 813 Hakuna Mitaa

5. Wilaya ya Chemba: Kuna Kata 26 Vijiji 114 Vitongoji 488 Hakuna Mitaa

6. Wilaya ya Kongwa: Kuna kata 22 Vijiji 87 Vitongoji 385

7. Wilaya ya Kondoa: Kuna kata 21 Vijiji 84 Vitongoji 382

8. Wilaya ya Mpwapwa: Kuna Kata 33 Vijiji 113 Vitongoji 591

Mkoa wa Dodoma una jumla ya Kata 209 Mitaa 258 Vijiji 564 na Vitongoji 3211

Bonyeza Kiungo hiki kusoma majina ya Vijiji na kata

Hali ya Kisiasa Mkoani Dodoma kulingana na uchaguzi uliopita
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipata ushindi mkubwa ambapo wagombea wake walipita bila kupingwa katika maeneo mengi, hasa kutokana na vyama vya upinzani kujitoa katika mchakato huo wakilalamikia mazingira yasiyokuwa ya haki na wengine kuonekana fomu zao zilikuwa hazikidhi vigezo vya kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi kutokana na kuonekana zina makosa kwenye ujazaji wa fomu hizo. Hii ilisababisha CCM kushinda karibu asilimia 100 ya nafasi za uongozi katika vijiji, vitongoji, na mitaa ya Dodoma

Vyama vya upinzani kama CHADEMA na ACT-Wazalendo vilijiondoa baada ya wagombea wake wengi kuenguliwa kwa madai ya sababu zisizoeleweka, huku serikali na CCM zikihalalisha mchakato huo. Hali hii ilileta mvutano na lawama kutoka kwa wadau n vyama vya upinzani na hivyo CCM kupat ushindi wa kishindo.

Pia soma:
MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

- LGE2024 - News Alert: - CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa
 
Mkoa wa Dodoma unapatikana katikati ya Tanzania, unapakana na mikoa ya Manyara, Morogoro, Iringa na Singida. Mkoa wa Dodoma una ukubwa wa takriban kilomita za mraba 41,310.

Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni makao makuu ya serikali, ambapo bunge na ofisi nyingi za kitaifa zipo.

Idadi ya Watu

Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Dodoma una jumla ya watu 3,085,625. Idadi hii inajumuisha wanaume na wanawake kwa uwiano ufuatao:
  • Wanaume:1,512,760
  • Wanawake: 1,572,865
Mkoa wa Dodoma una jumla ya Wilaya 8. Majina ya Wilaya pamoja na idadi ya watu kwa jinsia
  1. Bahi(322,526 ) Wanaume - 156,427 Wanawake-166,099
  2. Chamwino(486,176) Wanaume -236,583 Wanawake-249,593
  3. Chemba(339,333 ) Wanaume-170,837 Wanawake-168,496
  4. Jiji la Dodoma (765,179 ) Wanaume - 373,440 Wanawake -391,739
  5. Kondoa(244,854) Wanaume-124,379 Wanawake- 120,475
  6. Kondoa Mjini(80,443) Wanaume-40,153 Wanawake-40,290
  7. Kongwa(443,867 ) Wanaume- 214,475 Wanawake-229,392
  8. Mpwapwa(403,247) Wanaume- 196,466 Wanawake-206,781
Mkoa wa Dodoma una jumla ya kata 209 zilizogawanyika katika wilaya 8

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Mchanganuo wa Vijiji, Mitaa, Kata na Vitongoji kwa Mkoa wa Dodoma

1 Jiji la Dodoma: Lina Kata 41 Mitaa 222, hakuna vijiji Wala Vitongoji

2 Mji Mdogo wa Kondoa: Una kata 8 n Mitaa 36 hakuna vijiji wala Vitongoj

3. Wilaya ya Bahi: Una kata 22, Vijiji 59 Vitongoji 552 Hakuna mitaa

4. Wilaya ya Chamwino: Kuna kata 36 Vijiji 107 Vitongoji 813 Hakuna Mitaa

5. Wilaya ya Chemba: Kuna Kata 26 Vijiji 114 Vitongoji 488 Hakuna Mitaa

6. Wilaya ya Kongwa: Kuna kata 22 Vijiji 87 Vitongoji 385

7. Wilaya ya Kondoa: Kuna kata 21 Vijiji 84 Vitongoji 382

8. Wilaya ya Mpwapwa: Kuna Kata 33 Vijiji 113 Vitongoji 591

Mkoa wa Dodoma una jumla ya Kata 209 Mitaa 258 Vijiji 564 na Vitongoji 3211

Bonyeza Kiungo hiki kusoma majina ya Vijiji na kata

Hali ya Kisiasa Mkoani Dodoma kulingana na uchaguzi uliopita
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipata ushindi mkubwa ambapo wagombea wake walipita bila kupingwa katika maeneo mengi, hasa kutokana na vyama vya upinzani kujitoa katika mchakato huo wakilalamikia mazingira yasiyokuwa ya haki na wengine kuonekana fomu zao zilikuwa hazikidhi vigezo vya kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi kutokana na kuonekana zina makosa kwenye ujazaji wa fomu hizo. Hii ilisababisha CCM kushinda karibu asilimia 100 ya nafasi za uongozi katika vijiji, vitongoji, na mitaa ya Dodoma

Vyama vya upinzani kama CHADEMA na ACT-Wazalendo vilijiondoa baada ya wagombea wake wengi kuenguliwa kwa madai ya sababu zisizoeleweka, huku serikali na CCM zikihalalisha mchakato huo. Hali hii ilileta mvutano na lawama kutoka kwa wadau n vyama vya upinzani na hivyo CCM kupat ushindi wa kishindo.

Pia soma:
Hi Rais Samia bado hajaenda kupanga foleni apige kura? :BearLaugh: :BearLaugh:
 
Back
Top Bottom