Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkoa wa Katavi una Halmashauri tano (5) na majimbo ya uchaguzi matano (5) ambapo Jimbo la Mpanda Vijijini linaongoza kwa kuwa na watu wengi (371,836) likifuatiwa na Jimbo la Mpanda Mjini (watu 245,764). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Katavi ambalo lina watu 118,818.
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu
katika Mkoa wa Katavi ni 1,152,958; wanaume 569,902 na wanawake 583,056.
SOMA PIA:
MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Mpanda
Kata: 15
Mitaa: 43
Vijiji: 14
Vitongoji: 79
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Tanganyika
Kata: 16
Vijiji: 55
Vitongoji: 321
Wilaya ya Nsimbo
Kata: 12
Vijiji: 54
Vitongoji: 261
Wilaya ya Mlele
Kata: 6
Vijiji: 18
Vitongoji: 85
Wilaya ya Mpimbwe
Kata: 9
Vijiji: 31
Vitongoji: 166
Pia, soma
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu
katika Mkoa wa Katavi ni 1,152,958; wanaume 569,902 na wanawake 583,056.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KATAVI
SOMA PIA:
- Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- Mchengerwa: Matokeo ya uchaguzi kutangazwa ndani ya saa 72
MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Mpanda
Kata: 15
Mitaa: 43
Vijiji: 14
Vitongoji: 79
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Tanganyika
Kata: 16
Vijiji: 55
Vitongoji: 321
Wilaya ya Nsimbo
Kata: 12
Vijiji: 54
Vitongoji: 261
Wilaya ya Mlele
Kata: 6
Vijiji: 18
Vitongoji: 85
Wilaya ya Mpimbwe
Kata: 9
Vijiji: 31
Vitongoji: 166